Dark
Light

Mwigulu nchemba

Nchemba Awahakikishia Wafanyabiashara Usalama wa Kodi

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amewahakikishia wafanyabiashara nchini kuwa Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambua mchango mkubwa wa sekta binafsi hususani wafanyabiashara katika maendeleo ya
May 12, 2024

Uchumi,Demokrasia Na Utawala Bora Kukuza Nchi

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amesema Tanzania itaendelea kuwekeza fedha kwenye sekta za uzalishaji, kudumisha demokrasia na utawala bora ili kukuza uchumi wa nchi na ustawi wa jamii. Dkt. Nchemba ameyasema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka
April 5, 2024