Baada ya maeneo mengi Nchini kukosa Huduma ya Umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo Mei 4, 2024, Shirika la Umeme Tanzania [TANESCO] limesema hali hiyo imesababishwa na hitilafu kwenye Mfumo wa Gridi ya Taifa iliyotokea majira ya Saa 8:40 Usiku
TANESCO imeeleza baadhi ya maeneo ya Mikoa ya Dodoma na Iringa Huduma imeanza kurejea huku Wataalamu wao wakiendelea na jitihada za marekebisho ili kurejesha Huduma hiyo Maeneo mengine
Soma Zaidi:TANESCO Gets New Board of Directors to Address Country’s Power Crisis
Nukuu ya Taarifa kwa Uma iliyo tolewa na shirika hilo ni ” Shirika la Umeme Tanzania [TANESCO] linawataarifu wake kuwa hitilafu iliyojitokeza katika mfumo wa gridi ya taifa imefanywa kazi na wataalamu wetu
Mpaka sasa huduma ya umeme imerejeshwa kupitia vituo vyetu vya kupokea, kupoozea na kusambaza umeme Nchini na tayari maeneo mengi yanapata huduma
Shirika linawashukuru wateja wake wote kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma hii ilikosekana”
Awali kabla ya taarifa hiyo, Shirika hilo lilitoa taarifa ya kukosekana kwa umeme katika baadhi ya maeneo, huku ikithibisha kuwepo kwa jitihada ya wataalamu kufanyia kazi hitilafu hiyo na kuhakikisha umeme unarudi katika maeneo yote.
I do accept as true with all of the concepts you’ve introduced for your post. They’re very convincing and will definitely work. Still, the posts are very quick for newbies. May just you please lengthen them a little from next time? Thanks for the post.
Your article helped me a lot, is there any more related content? Thanks!
Can you be more specific about the content of your article? After reading it, I still have some doubts. Hope you can help me.
Can you be more specific about the content of your article? After reading it, I still have some doubts. Hope you can help me.
I for all time emailed this web site post page to all my friends, as if like to read it next my friends will
too.
It’s really a nice and helpful piece of info. I am glad that you shared this useful information with us. Please keep us informed like this. Thanks for sharing.