Na WAF Dar Es Salaam.
Wizara ya Afya kupitia Naibu Katibu Mkuu Dkt. Grace Magembe pamoja na wataalam wamekutana na Wadau wa Maendeleo wa Sekta ya Afya nchini na kujadili namna wanavyoweza kushirikiana katika utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ambao hivi karibuni imesainiwa hivi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza wakati wa kufungua kikao kazi hicho, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Grace Magembe amesema wadau hao ni muhimu katika sekta hivyo wanaguswa moja kwa moja katika utekelezaji wa Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote na muhimu kukutana kwa pamoja na kuweza kuipitia Sheria hiyo, itakayowaongoza katika utekelezaji.
Kwa upande wake mwakilishi wa Wadau wa Maendeleo katika Sekta ya afya, ambaye pia ni Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Uingereza Bi.Gertude Mapunda, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu kwa kuweza kusaini na kukubali Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote kuanza kutumika nchini na kuahidi kuwa Wadau wa maendeloe wapo tayari kushirikiana na Serikali katika kufikia azma ya Bima ya Afya kwa wote.
“Kuja kwa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote itakuwa ni msaada mkubwa kwa Watanzania walio wengi, kwani kutokana na unafuu wake utasaidia wengi kujiunga na kuwa wanachama na kufanikisha upatikanaji wa huduma za afya kuwafikia walio wengi” Amesema Bi Getrude.
Katika kikao hicho Wadau wa Maendeleo katika Sekta ya Afya wamefanikiwa kupitishwa kwenye Sheria ya Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote, namna mfuko huo utakavyotekelezwa na pia wamepata wasaa wa kujadiliana masuala mbalimbali yatakayojitokeza pindi mfuko huo utakapoanza kutekelezwa.
I like the efforts you have put in this, thanks for all the great articles.
I really like your blog.. very nice colors & theme. Did you create this website yourself or did you hire someone to do it for you? Plz answer back as I’m looking to create my own blog and would like to find out where u got this from. many thanks
I do agree with all the ideas you’ve presented in your post. They’re really convincing and will certainly work. Still, the posts are very short for beginners. Could you please extend them a bit from next time? Thanks for the post.
I have been browsing on-line more than 3 hours nowadays, yet I by no means found any attention-grabbing article like yours. It¦s lovely worth sufficient for me. Personally, if all website owners and bloggers made excellent content material as you did, the net will likely be much more helpful than ever before.
Thanks for sharing excellent informations. Your web-site is so cool. I’m impressed by the details that you have on this site. It reveals how nicely you understand this subject. Bookmarked this website page, will come back for extra articles. You, my friend, ROCK! I found simply the info I already searched all over the place and simply could not come across. What an ideal web site.
Merely wanna say that this is handy, Thanks for taking your time to write this.