Dark
Light

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Januari 30, 2024.
January 30, 2024
by

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimjulia hali Theresia Ngowi ambaye ni mama mzazi wa mbunge wa viti maalum Halima Mdee ambaye amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma Januari 30, 2024. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo Dkt. Alphonce Chandika na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Ester Bulaya (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Zitto Kabwe Urges Calm Ahead of Tanzania Elections

As Tanzania moves closer to its highly anticipated general election

East Africa Backs Plan to Ease Money Transfers

The East African Community (EAC) has endorsed a transformative Cross-border