Dark
Light

Jenerali Mkunda Akutana na Luteni Jenarali Rana Upanga

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India, Luteni Jenerali Dokta Dinesh Singh Rana ofisini kwake, Upanga jijini Dar es Salaam.
May 14, 2024
by

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India, Luteni Jenerali Dokta Dinesh Singh Rana ofisini kwake, Upanga jijini Dar es Salaam.

Katika mazungumzo yao, Jenerali Mkunda amesema kuwa ujio wake ni ishara ya kudumisha mahusiano kati ya Tanzania na India hasa katika nyanja za kidiplomasia ya kijeshi, mafunzo, kubadilishana uzoefu wa kijeshi na taarifa za kiusalama.

Mkuu wa Usalama wa Jeshi la India amefika ofisini kwa Jenerali Mkunda kumsalimia ikiwa ni sehemu ya ziara yake hapa nchini.

Soma:“Sehemu Nidhamu Imebaki Ni Katika Majeshi” Mwinyi

Sambamba na hilo Jenerali Mkunda amekutana na Mwambata Jeshi wa Jeshi la Malawi nchini Tanzania, Kanali Orion Msukwa alipofika ofisini kwake Upanga jijini Dar es Salaam kuaga baada ya muda wake wa kuliwakilisha Jeshi la Malawi hapa nchini kuisha.

Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano Makao Makuu – JWTZ

6 Comments

  1. Hello! I know this is kinda off topic but I was wondering which blog platform are you using for this website? I’m getting fed up of WordPress because I’ve had problems with hackers and I’m looking at options for another platform. I would be great if you could point me in the direction of a good platform.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Rusumo Hydropower Project Strengthens Grids for Three Nations

It has been stated that the Rusumo hydropower project has

End of CCM Predicted By CHADEMA Chairman

The chairman of CHADEMA Freeman Mbowe delivered a resolute message