Klabu ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini Imetahadharishwa juu ya mechi yao Klabu bingwa dhidi ya Yanga utakaocheza jumamosi 30 Machi 2024.
Tahadhari hiyo imetolewa na Mwandishi nguli wa habari za michezo barani Afrika Mamadou Gaye amezungumza na PitchSide Podcast ya Mamelodi na kwenye mazungumzo hayo.
Mamadou ametaja baadhi ya sababu ikiwemo ya Yanga kutoka kupoteza kwenye mechi yao ya mwisho dhidi ya Azam FC hii imewaongezea umakini lakini pia kucheza fainali kwenye CAF CC msimu uliopita kunawapa shauku ya kufanya vizuri kwenye CAF CL
“Kama wameweza kucheza fainali ya CAF Confederation Cup kwanini washindwe kucheza Nusu Fainali ya CAF Champions League “
“Kama Mamelodi itajisahau basi itashangazwa “
Your point of view caught my eye and was very interesting. Thanks. I have a question for you.
It is really a nice and useful piece of information. I am
happy that you just shared this helpful information with
us. Please keep us up to date like this. Thank you for sharing.
Heya i am for the first time here. I found this board and I find It really useful & it helped me out much.
I hope to give something back and aid others like you aided me.
Nice weblog here! Also your web site quite a bit up very fast!
What host are you using? Can I am getting your affiliate hyperlink on your
host? I wish my site loaded up as quickly as yours lol.