Dark
Light

Samia kuhutubia African Summit Korea, SGR kipaumbele

June 1, 2024
by

Mkurugenzi  Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa,ameeleza ni kwanini Rais Samia Suluhu Hassan atahutubia kwenye mkutano kati ya serikali ya Korea na wakuu wa nchi za Afrika, (African Summit) kuwa ni uwekezaji mkubwa uliofanywa kwenye miundombinu.

Akizungumzia na waandishi wa habari jijini Seoul, Korea, Mkurugenzi huyo alisema kwenye uwekezaji uliowekwa kwa Afrika Mashariki hakuna nchi inayoifikia Tanzania.

Soma Zaidi:Samia’s South Korea Trip To Yield Sh6.5 Trillion
Katika mkutano huo Rais Samia atatoa maoni katika jopo la Kuimarisha Usalama na Chakula na Madini.

“Uchaguzi kwamba Rais Samia atazungunza haijawa kwa bahati mbaya ni kwasababu watu wanajua kilichofanyika Tanzania hadi sasa.

Aidha, alisema Rais ameelekeza hadi Julai 14,2024 (Wiki mbili zijazo), treni ya SGR itaanza safari ya kutoka Dar hadi Morogoro, huku Morogoro hadi Dodoma ni Julai 25,2024

Mawaziri waliofuatana na Rais Samia ni Waziri wa Habari,Mawasiliano na Tekonolojia ya Habari,Nape Nnauye,Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Uwekezaji),Prof.Kitila Mkumbo, Waziri wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk.Ashatu Kijaji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Fedha na Mipango Zanzibar, Dk.Saada Mkuya Salum.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Kariakoo Market’s New Trading Conditions Spark Debates

Dar es Salaam Regional Commissioner Albert Chalamila has recently set

Trump Holds Off on Tariffs as Ukraine Talks Continue

 President Donald Trump has decided not to impose additional tariffs