Dark
Light

Kesi Ya Jenerali Bunyoni Kusikilizwa Leo

May 27, 2024
by

Kesi inayomuhusu Waziri Mkuu wa zamani wa Burundi Jenerali Alain Guillaume Bunyoni inatarajiwa kusikilizwa leo baada ya kukata rufaa katika Mahakama ya rufaa.

Mahakama ya juu ya Burundi ilimuhukumu Waziri Mkuu wa zamani Alain-Guillaume Bunyoni kifungo cha maisha jela baada ya kumpata na hatia ya makosa kadhaa.

Read More:Burundi shuts border with Rwanda amid spat

Kwa mujibu wa duru za Mahakama ya juu ya Burundi, Bunyoni amepatikana na hatia ya Mashtaka kadhaa yaliyokuwa yakimkabili ikiwa ni pamoja na kujaribu kupindua serikali, kumiliki utajiri kinyume cha sheria na kuyumbisha uchumi.

Jenerali huyo wa zamani wa jeshi aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Burundi mnamo Julai 2020 na kufukuzwa kazi mnamo Septemba 2022.

Kuondolewa kwake kulikuja siku chache baada ya Rais Evariste Ndayishimiye kuonya juu ya kile alichokiita njama ya “mapinduzi” dhidi yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Tanzania’s Industrial Growth Hits 5.5% in Q3 2024

Tanzania’s industrial sector recorded a growth rate of 5.5% in

CHADEMA Sets Nationwide Protests

Tanzania’s leading opposition party, CHADEMA, has announced plans for nationwide