Jeshi la Polisi Nchini limesema kuwa tangu Juni 22, 2024 kupitia baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kulionekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kilichosomeka “KUFUNGA BIASHARA ZETU”.
Akitoa taarifa hiyo leo jijini Arusha Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini Naibu kamishna wa Polisi DCP David Misime amesema tangazo hilo lina ujumbe unaosema “Wafanyabiashara wote wa viunga vya Kariakoo mnatakiwa kufunga biashara zenu zote ikiwemo maduka yenu, ofisi zetu na chochote unachokifanya kuanzia Jumatatu ya Juni 24, 2024 bila ukomo hadi pale changamoto zetu zote za kibiashara zitakapoweza kutatuliwa”.
DCP Misime amesema kuwa Mbali na tangazo hilo kutokujulikana limetolewa na nani, amebainisha kuwa limeenda mbali zaidi hadi kukiuka sheria za nchi kwa kutangaza vitisho kuwa; “Wafanyabiashara watakaokaidi agizo ambalo lilisema kuwa mshale wa jicho utakuwa haki yake”.
Soma:Mbowe: Tathmini Ya Maandamano Kwa Mikoa 13
Ameendeleaa kusema kuwa Uongozi wa Umoja wa Wafanyabiashara wa soko la Kariakoo wameeleza kuwa tangazo hilo halijatoka kwao na hata uongozi wao ngazi ya Taifa hawajathibitisha tangazo hilo kutoka kwao.
Vile vile amesema Jeshi la Polisi nchini linapenda kuwahakikishia wafanyabiashara na wananchi wote kwa ujumla ambao wanafanya shughuli zao za biashara na kupata mahitaji katika soko hilo kuwa ulinzi utaimarishwa ipasavyo katika maeneo yote huku likabainisha kuwa wakati walio kula njama, kuandaa na kusambaza tangazo hilo wakitafutwa.
Jeshi la Polisi Nchini limewaomba wananchi kuendelea na shughuli zao kama kawaida bila hofu.
Pia Msemaji wa Jeshi hilo amesema Jeshi la Polisi linatoa wito kwa mtu yeyote mwenye changamoto zenye kuhitaji utatuzi afuate utaratibu wa kuzifikisha kwenye mamkaka husika ili zifanyiwe kazi na sio kuvunja sheria kwa kutoa vitisho na kulazimisha wengine kutekeleza/kufanya yale ambayo hawakubaliani na waliotoa tangazo hilo.
Very efficiently written post. It will be valuable to everyone who employess it, as well as me. Keep doing what you are doing – i will definitely read more posts.
In the competitive and fast-paced world of new home sales in the United States, experts need
a distinct set of skills to succeed. Navigating the complexities of the
housing market demands more than knowledge of property values; it calls for a blend of abilities, qualities, and
specialized industry insight. In this blog, we’ll explore the top attributes that set apart successful professionals in the new home sales field in the USA.
One of the key traits of a successful new home sales professional is a comprehensive understanding of the market.
This includes expertise in local property trends, market
values, and the various factors that influence them.
Professionals who stay informed about market changes are better equipped to provide clients with accurate,
essential information, thereby building trust
and credibility.
Call Girls can help make every occasion memorable – be
it celebrating a birthday, anniversary, business trip or romantic date – as
they’re open-minded
I really like your writing style, wonderful info , thankyou for putting up : D.
F*ckin¦ awesome things here. I¦m very glad to look your post. Thanks a lot and i am taking a look forward to contact you. Will you kindly drop me a mail?
I’ve recently started a website, the info you offer on this site has helped me greatly. Thanks for all of your time & work.
Thank you for every other excellent article. The place else could anybody get that type of information in such a perfect means of writing? I’ve a presentation subsequent week, and I am on the search for such information.