Dark
Light

Waziri wa Afya aagiza hospitali zote za rufaa kutoa huduma ya kemo

Tiba Kemia hutolewa katika Hospital ya Rufaa ya  Muhimbili na Ocean Road tu na wagonjwa wamekuwa wengi kote nchini hivyo ni wakati wa Hospital za Rufaa za Mikoa kutoa huduma hiyo lengo ni kuwapunguzia usumbufu wagonjwa.
December 30, 2023
by

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameagiza Hospital zote za Mikoa za Rufaa nchini kuhakikisha zinatoa Tiba Kemia lengo ni kumpunguzia mgonjwa kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hiyo Jijini Dar es Salaam.

Mwalimu alisema hayo leo Jijini Arusha mara baada ya kutembelea Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru na kuzindua maabara ya kisasa ya hospital hiyo na kusema kuwa Tiba Kemia hutolewa katika Hospital ya Rufaa ya  Muhimbili na Ocean Road tu na wagonjwa wamekuwa wengi kote nchini hivyo ni wakati wa Hospital za Rufaa za Mikoa kutoa huduma hiyo lengo ni kuwapunguzia usumbufu wagonjwa.

Waziri huyo alisema hatua iliyofanywa na Hospital ya Rufaa ya Mount Meru Mkoani Arusha ya kutaka kuanzisha huduma ya Tiba Kemia ameiunga mkono na kuzitaka hospital nyingine za Rufaa za Mikoa kuiga mfano wa hospital hiyo.

Waziri aliusifu uongozi wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa ya Mount Meru chini ya Mganga Mfawidhi Dkt Alex Ernest kwa usafi,utoaji wa huduma safi na uwepo wa dawa na vifaa tiba na na  Utendaji kazi na usimamizi wa dhati kwa watumishi na kutoa huduma kwa wananchi na kusema kuwa hospital nyingine zinapaswa kuiga mfano huo.

Waziri wa Afya Tanzania, Ummy Mwalimu

Alisema Dkt Alex ni mfano wa madaktari Bingwa kote nchini kwani yuko karibu na watumishi wote wa hospital hiyo na anatatua changamotozao zote hivyo Madaktari wengine wa Hospital za Rufaa wanapaswa kuiga mfano.

‘’Nimeridhishwa na usafi na utoaji huduma katika Hospital hii ya Mount Meru kwani nimejionea mwenyewe na mnastahili pongezi na msibweteke hakikisheni mnaongeza kasi kwa maslahi ya wananchi’’alisema Mwalimu.

”Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hatudai kwani emashafanya kazi yake ya kutoa fedha katika huduma ya Afya mamilioni ya fedha kote nchini hivyo ni wajibu wetu kutoa huduma safi kwa wananchi”alisema

Naye Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Dkt Charles Mkombachepa alimweleza Waziri kuwa Mkoa wa Arusha kwa sasa una vituo vya afya 431 hadi disemba mwaka huu na serikali inamiliki vituo 259 sawa na asilimia 60 ukilinganisha na mwaka 2021/22 ambapo kulikuwa na vituo 241 sawa na asilimia 57 na taasisi za dini na binafsi zinamiliki vituo vya afya 172 sawa na asilimia 39.

Dkt Mkombachepa alisema kuwa kuna hatua kubwa sana imepigwa katika kujenga na kuimarisha miundambinu ya kutolea huduma ya afya kwani katika 2021/22 kulikuwa na hospital 6 za Halmashauri na kufikia Disemba mwaka huu Halmashauri zote saba Mkoani Arusha zina Hospital na zote zimeanza kutoa huduma.

Alisema mwak 2021/22 kulikuwa na vituo vya afya 37 na mwaka 2023/24 jumla ya vituo afya 3 vimeongezwa na kufikia 40,mwaka 2021/22 kulikuwa na zahanati 194 na mwaka 2023/24 zimeongezeka na kufikia zahanati 211,mwaka 2021/22 kulikuwa na vyumba vya upasuaji 17 ukilinganisha na mwaka 2023/24 kuna vyumba vya upasuaji 21 kwa vituo vya serikali.

Naye Mganga Mfawidhi Alex Ernest alimweleza Waziri Mwalimu kuwa Hospital ya Rufaa ya Mount Meru inanunuwa dawa MSD kwa fedha taslimu,wazabuni na wafanyakazi wa Hospital hiyo hawana deni nao kwa kuwa kila kitu wanachostahili kulipwa wameshalipwa au wanalipwa kwa wakati.

44 Comments

  1. Great article! This is the type of information that should
    be shared across the internet. Shame on the
    seek engines for not positioning this put up upper!
    Come on over and visit my site . Thanks =)

    Also visit my website 먹튀인증

  2. Howdy! I could have sworn I’ve visited this website before
    but after browsing through many of the articles I realized
    it’s new to me. Regardless, I’m definitely delighted I came across it and I’ll be bookmarking it and checking back regularly!

  3. Decide funding for the upcoming motor vehicle or refinance with self esteem.
    Take a look at currently’s car financial loan costs.

    Time for you to first payment: After you offer a product,
    anticipate a wait duration of all-around 5 times to get money within your checking account on most platforms.

    There’s no justification for working away from money any more.

    Nicely, many of us mess up in some cases, but there’s no
    purpose you shouldn’t be able to conjure
    up a couple of hundred dollars away from slender air for those who’re prepared to get Inventive regarding how to make money.

    Not everyone seems to be courageous adequate to hire out their
    total residence to your stranger, but even leasing out the spare space can offer a large supply of excess money.
    You may perhaps meet some attention-grabbing individuals and find yourself enjoying it.

    In the same way, if you’ve attained past success on the
    planet of entrepreneurialism, your services could be of use to budding business people as well as established business people who
    want to consider their organization to the subsequent amount.

    Everybody knows that therapy is actually a hugely-expert
    and hard occupation, although not Lots of people realize it’s shifting online.

    A different crucial element of promoting and advertising is casino starting off a good email promoting system, which helps to keep customers and change prospects.

    You may also make money fast by completing surveys, microtasks,
    rewards plans, or any of the other simple tips on this checklist.
    The quantity you’ll get won’t be high, but It’ll be quick.

    In addition to supporting organizations to deal with their
    social accounts, you’ll be able to give them advice regarding how to sort a
    protracted-expression social websites strategy.

    Should you aren’t excited about working with a pc all day, Check out a lot of
    the finest methods to make money offline:

    Engaging in liable gambling with bonus resources and managing them as authentic money
    can cause greater determination-making along with a simpler reward system.

    Choose in for bonus resources. As many as 50x wagering, recreation contributions differ, max.
    stake applies, new customers will have to decide in and claim
    offer in just 24 hrs and use inside thirty days.
    Geographical Limits and T&Cs

    I’m not sure if it’s intentional or an editorial remark, though the pitch for blogging claims
    “Is there a topic or subject matter you’re really experienced about and luxuriate in adequate to have the ability to create on it each day For some time?

    That compensation impacts the location and buy by which the manufacturers are
    offered and is some scenarios may impression the rating that may be
    assigned to them.

    MONEY
    FREE CASH

    CASINO
    PORN

    SEX
    ONLY FANS

  4. Definitely believe that which you stated. Your favorite reason seemed to be on the internet the simplest thing to be aware
    of. I say to you, I definitely get irked while people think about worries that they
    plainly do not know about. You managed to hit the nail
    upon the top and also defined out the whole thing
    without having side effect , people can take a signal.
    Will likely be back to get more. Thanks

  5. Right here is the right blog for everyone who wishes to find
    out about this topic. You know a whole lot its almost hard to
    argue with you (not that I actually will need to…HaHa).
    You definitely put a fresh spin on a topic that’s been discussed
    for years. Excellent stuff, just excellent!

  6. I am not sure where you’re getting your info, but good topic.
    I needs to spend some time learning more or understanding more.
    Thanks for excellent information I was looking for
    this info for my mission.

  7. Pretty nice post. I just stumbled upon your blog and wished to say that I have really enjoyed browsing your blog posts.
    After all I will be subscribing to your rss
    feed and I hope you write again very soon!

  8. Howdy! I know this is kinda off topic nevertheless I’d figured I’d ask.
    Would you be interested in exchanging links or maybe guest writing a blog post or vice-versa?
    My website discusses a lot of the same topics as
    yours and I think we could greatly benefit from each other.
    If you might be interested feel free to send me an e-mail.
    I look forward to hearing from you! Great blog by the way!

  9. Amazing blog! Do you have any recommendations for aspiring writers?
    I’m hoping to start my own website soon but I’m a little lost on everything.
    Would you advise starting with a free platform like WordPress or go for a paid option? There are so many choices out there that I’m completely
    confused .. Any ideas? Bless you!

  10. I’m truly enjoying the design and layout of your website.

    It’s a very easy on the eyes which makes it much more
    pleasant for me to come here and visit more often. Did you hire out a designer to create your theme?
    Outstanding work!

  11. Hey there, I think your site might be having browser compatibility issues.
    When I look at your blog in Ie, it looks fine but when opening in Internet Explorer, it has some overlapping.
    I just wanted to give you a quick heads up!
    Other then that, amazing blog!

  12. I do not know if it’s just me or if perhaps everyone else experiencing issues with your blog.
    It appears like some of the written text within your
    content are running off the screen. Can someone else please provide feedback and
    let me know if this is happening to them too? This may be a problem with my internet browser because I’ve had this happen previously.
    Thank you

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Tour Boat Capsizes, Sixteen Still Missing

A luxury yacht capsized and sank off the Red Sea

REA Expands Access to Affordable Cooking Gas in Shinyanga

The Rural Energy Agency (REA) is taking significant steps to