Dark
Light

Watanzania washiriki dira mpya ya taifa ya Maendeleo-Majaliwa

Mheshimiwa Majaliwa amewataka Watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa, kidini na kikabila washiriki kikamilifu kutoa maoni ili kuhakikisha Dira mpya ya Taifa ya Maendeleo inakuwa jumuishi na shirikishi.
February 17, 2024
by

Mheshimiwa Majaliwa amewataka Watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa, kidini na kikabila washiriki kikamilifu kutoa maoni ili kuhakikisha Dira mpya ya Taifa ya Maendeleo inakuwa jumuishi na shirikishi.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema kuwa sekta binafsi asasi za kiraia, makundi maalum kama vile vijana, wanawake, wazee, watu wenye ulemavu na mashirikisho mengine yashirikiane na Tume ya Mipango katika uratibu wa ukusanyaji wa maoni ya wanachama na wadau wao. ”Hii itasaidia kuhakikisha kuwa maoni ya makundi husika yanapokelewa na kujumuishwa katika maandalizi ya Dira mpya ya Taifa ya Maendeleo.”

Waziri Mkuu amesema kazi zinazofuata katika maandalizi ya Dira mpya ya Taifa ya Maendeleo ni pamoja na kutoa elimu kwa umma kupitia kampeni ya kitaifa ya uhamasishaji wananchi kushiriki katika maandalizi ya Dira mpya na kukamilisha na kusambaza taarifa ya ukusanyaji maoni.

4 Comments

  1. Thank you a bunch for sharing this with all folks you actually understand what you are talking about! Bookmarked. Please also consult with my web site =). We may have a hyperlink alternate arrangement among us!

  2. Hey there! I’m at work browsing your blog from my new iphone 3gs! Just wanted to say I love reading through your blog and look forward to all your posts! Keep up the outstanding work!

  3. I would like to thnkx for the efforts you have put in writing this blog. I am hoping the same high-grade blog post from you in the upcoming as well. In fact your creative writing abilities has inspired me to get my own blog now. Really the blogging is spreading its wings quickly. Your write up is a good example of it.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Kamala Clinches Democratic Nominations For 2024 Presidential Race

Vice President Kamala Harris has clinched the Democratic Party’s nomination

“Take precautionary measures against outbreak of red eye disease

MEMBERS of the public in Mpanda Municipality in Katavi Region