Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imepandisha Riba ya Benki Kuu (CBR) kutoka asilimia 5.5 iliyotumika katika robo ya kwanza ya mwaka 2024 hadi asilimia sita, ambayo itatumika katika robo ya pili ya mwaka 2024, huku ikielezea mwenendo wa thamani ya Shilingi.
Akizungumza katika mkutano wa viongozi wa benki na waandishi wa habari, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema uamuzi wa kuongeza riba ulifikiwa katika kikao cha kamati kilichofanyika jana Aprili 3, 2024 na umezingatia tathimini ya mwelekeo wa uchumi iliyofanyika Machi 2024.
Gavana Tutuba amesema lengo ni kudhibiti mfumko wa bei nchini ambao kwa sasa upo wastani wa asilimia tatu.
“Katika hatua muhimu ya kukabiliana na shinikizo la mfumuko wa bei linalotokana na mwenendo wa uchumi duniani, Kamati ya Sera ya Fedha (MPC) imetangaza ongezeko la Kiwango cha Riba ya Benki Kuu (CBR) kutoka asilimia 5.5 hadi asilimia 6.”
Akitoa taarifa ya kamati hiyo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Benki Kuu Dar es Salaam mbele ya wakuu wa taasisi za fedha na vyombo vya habari, Gavana wa Benki Kuu, Bw. Emmanuel Tutuba amesema marekebisho ya CBR yatakayotekelezwa kwa robo ya pili ya mwaka huu, yaani Aprili hadi Juni 2024, yamo ndani ya wigo wa asilimia 2 juu na chini.
Read>> http://Serikali Ilibatilisha Leseni Maduka Ya Kubadilishia Fedha
Hatua hii inaonesh azma ya benki kuu katika kudumisha utulivu katika mabadiliko ya uchumi.
Tathmini ya MPC kuhusu hali ya uchumi duniani inaonesha mwelekeo mzuri, huku uchumi wa nchi zilizoendelea na zinazoibukia ukiwa na mwenendo bora.
Read>> http://Dkt. Nchemba Aongoza Mkutano Wa Benki Ya Dunia Kanda Ya Afrika
Akizungumza baada ya kutangazwa kwa CBR, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mabenki Tanzania, Bw. Theobald Sabi, ameipongeza Benki Kuu ya Tanzania kwa kuja na kiwango hicho kinachozingatia mazingira ya sasa hivi.
Pia ameiishukuru Benki Kuu ya Tanzania kwa ushirikiano wake inaotoa katika maeneo mbalimbali yenye changamoto katika sekta ya mabenki, likiwemo tatizo la upatikanaji wa fedha za kigeni.
Terrific material Thanks a lot!
Many thanks! I like this.
The term “Golden Age of Porn”, or “porno chic”, refers to a 15-12 months period (1969-1984) in commercial American pornography, wherein sexually specific
movies skilled constructive consideration from mainstream cinemas,
movie critics, and most of the people.[1][2] This American period, which had subsequently unfold internationally,[3]
and that began before the legalization of pornography in Denmark on July 1, 1969,[4] began on June 12, 1969,
[5] with the theatrical release of the movie Blue
Movie directed by Andy Warhol,[6][7][8] and, somewhat later,
with the release of the 1970 movie Mona produced by Bill Osco.[9][10] These movies had been the first grownup erotic movies depicting express intercourse
to obtain large theatrical launch in the United States.[6][7][8][9] Both influenced the making of movies akin to 1972’s Deep Throat starring Linda Lovelace and directed by Gerard Damiano,[11] Behind the Green Door starring Marilyn Chambers and directed by the Mitchell brothers,[12] 1973’s The Devil in Miss Jones additionally by Damiano, and 1976’s The Opening of
Misty Beethoven by Radley Metzger, the “crown jewel” of the Golden Age, in keeping with award-successful writer Toni Bentley.[13][14].
In response to Andy Warhol, his Blue Movie movie was a
major affect in the making of Last Tango in Paris,
an internationally controversial erotic drama movie, starring Marlon Brando, and released a few years after Blue Movie was shown in theaters.[8]
You’ve made some good points there. I looked on the internet for more
information about the issue and found most individuals will go along with your views on this web
site.
Regards, A good amount of tips.
I’m excited to discover this website. I want to to thank you for your
time just for this wonderful read!! I definitely loved every
bit of it and I have you saved to fav to check out new stuff in your site.