Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki Wameungana na Polisi wenzao kutoka Nchini Rwanda kuuwakumbuka Wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbari Nchini Rwanda.
Akiongea leo Aprili 14,2024 katika Shule ya Polisi Tanzania Mkoani Kilimanjaro Mkurungenzi Mkuu wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Mashariki mwa Afrika Apollo Afrika amesema wamekuwa wamekuwa wakifanya maadhimisho ya kumbukumbu wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbali yaliyotokea miaka 30 iliyopita nchini Rwanda.
Read More: Polisi Nchi 14 Kufanya Mazoezi Pamoja Tanzania
https://mediawireexpress.co.tz/polisi-nchi-14-kufanya-mazoezi-pamoja-tanzania/
Mkurungenzi Huyo mbali na kubainisha hilo amesema wanatumia kumbukumbu hiyo kama funzo Kwa wananchi wengine kutojiingiza katika machafuko ambapo alibainisha kuwa kipindi cha maauji hayo nchini Rwanda yalikuwa yakitisha ambayo alisema yalichafua taswira ya Nchi hiyo.
Kwa upande wake Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP David Misime pamoja na kushiriki kumbukumbu hiyo amewataka waandishi wa habari kuzingatia Maadili katika kuwahabarisha wanaanchi ili kuepusha taharuki na Migogoro ambayo inaweza kuhatarisha usalama katika Maeneo ya ukanda huo.
Read More: Polisi Kuimarisha Ulinzi Kuelekea Sherehe Z a Pasaka
https://mediawireexpress.co.tz/polisi-kuimarisha-ulinzi-kuelekea-sherehe-z-a-pasaka/
Nao baadhi askari walioshiriki wa kumbukumbu hiyo iliyofanyika shule ya Polisi Tanzania TPS Moshi Kilimanjaro wamebainisha kuwa wametumia siku hiyo kuwa kumbuka na kuwaombea wananchi waliofariki katika mauaji ya kimbali Nchini Rwanda.
This is a very good tips especially to those new to blogosphere, brief and accurate information… Thanks for sharing this one. A must read article.
I do enjoy the manner in which you have framed this particular issue and it really does present us a lot of fodder for consideration. However, from everything that I have personally seen, I only trust as other commentary pack on that people keep on point and not get started on a tirade of some other news of the day. Anyway, thank you for this exceptional piece and while I do not really concur with it in totality, I value the standpoint.
Wow, marvelous weblog structure! How lengthy have you been blogging for? you made running a blog glance easy. The total look of your web site is wonderful, let alone the content material!
Admiring the time and energy you put into your site and in depth information you provide. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same unwanted rehashed material. Great read! I’ve saved your site and I’m adding your RSS feeds to my Google account.
I haven’t checked in here for a while as I thought it was getting boring, but the last several posts are great quality so I guess I’ll add you back to my daily bloglist. You deserve it my friend 🙂
Very interesting information!Perfect just what I was searching for! “Wherever the Turkish hoof trods, no grass grows.” by Victor Hugo.
Thanks for some other fantastic post. The place else could anybody get that type of info in such an ideal approach of writing? I have a presentation subsequent week, and I am at the look for such info.
You could certainly see your skills in the work you write. The world hopes for even more passionate writers such as you who aren’t afraid to say how they believe. All the time follow your heart. “We are near waking when we dream we are dreaming.” by Friedrich von Hardenberg Novalis.
Hello it’s me, I am also visiting this web page regularly,
this web site is really pleasant and the people are actually
sharing good thoughts.