Dark
Light

Polisi Afrika Mashariki Waungana Waadhimisha Mauaji Ya Kimbari

Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki Wameungana na Polisi wenzao kutoka Nchini Rwanda kuuwakumbuka Wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbari Nchini Rwanda.
April 14, 2024
by

Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki Wameungana na Polisi wenzao kutoka Nchini Rwanda kuuwakumbuka Wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbari Nchini Rwanda.

Akiongea leo Aprili 14,2024 katika Shule ya Polisi Tanzania Mkoani Kilimanjaro Mkurungenzi Mkuu wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Mashariki mwa Afrika Apollo Afrika amesema wamekuwa wamekuwa wakifanya maadhimisho ya kumbukumbu wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbali yaliyotokea miaka 30 iliyopita nchini Rwanda.

Read More: Polisi Nchi 14 Kufanya Mazoezi Pamoja Tanzania

https://mediawireexpress.co.tz/polisi-nchi-14-kufanya-mazoezi-pamoja-tanzania/

Mkurungenzi Huyo mbali na kubainisha hilo amesema wanatumia kumbukumbu hiyo kama funzo Kwa wananchi wengine kutojiingiza katika machafuko ambapo alibainisha kuwa kipindi cha maauji hayo nchini Rwanda yalikuwa yakitisha ambayo alisema yalichafua taswira ya Nchi hiyo.

Kwa upande wake Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP David Misime pamoja na kushiriki kumbukumbu hiyo amewataka waandishi wa habari kuzingatia Maadili katika kuwahabarisha wanaanchi ili kuepusha taharuki na Migogoro ambayo inaweza kuhatarisha usalama katika Maeneo ya ukanda huo.

Read More: Polisi Kuimarisha Ulinzi Kuelekea Sherehe Z a Pasaka

https://mediawireexpress.co.tz/polisi-kuimarisha-ulinzi-kuelekea-sherehe-z-a-pasaka/

Nao baadhi askari walioshiriki wa kumbukumbu hiyo iliyofanyika shule ya Polisi Tanzania TPS Moshi Kilimanjaro wamebainisha kuwa wametumia siku hiyo kuwa kumbuka na kuwaombea wananchi waliofariki katika mauaji ya kimbali Nchini Rwanda.

14 Comments

  1. Have you ever thought about adding a little bit more than just your articles? I mean, what you say is fundamental and all. Nevertheless imagine if you added some great pictures or video clips to give your posts more, “pop”! Your content is excellent but with pics and clips, this blog could certainly be one of the most beneficial in its field. Good blog!

  2. May I just say what a comfort to find an individual who truly understands what they’re discussing over the internet.
    You certainly understand how to bring a problem to light and make it
    important. A lot more people have to read this and understand this side of the story.
    I was surprised you aren’t more popular since you definitely possess the gift.

  3. I do enjoy the manner in which you have framed this particular issue and it really does present us a lot of fodder for consideration. However, from everything that I have personally seen, I only trust as other commentary pack on that people keep on point and not get started on a tirade of some other news of the day. Anyway, thank you for this exceptional piece and while I do not really concur with it in totality, I value the standpoint.

  4. Admiring the time and energy you put into your site and in depth information you provide. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same unwanted rehashed material. Great read! I’ve saved your site and I’m adding your RSS feeds to my Google account.

  5. Thanks for some other fantastic post. The place else could anybody get that type of info in such an ideal approach of writing? I have a presentation subsequent week, and I am at the look for such info.

  6. You could certainly see your skills in the work you write. The world hopes for even more passionate writers such as you who aren’t afraid to say how they believe. All the time follow your heart. “We are near waking when we dream we are dreaming.” by Friedrich von Hardenberg Novalis.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Flooding in Tarime Claims Nine Lives, More Missing

Nine members of a family have tragically lost their lives

Latin Grammys Coming Back, Miami 2024.

The Latin Grammys will happen in Miami this year, marking