Msafara wa Katibu wa NEC itikadi uenezi na mafunzo wa CCM Paul Makonda umepata ajali katika eneo la Masasi mkoani Mtwara ukihusisha magari zaidi ya 10.
Ajali hiyo iliyotokea saa 9 alasiri imehusisha zaidi ya magari 13 yaliyokuwepo katika msafara wa muenezi Makonda uliokuwa unatoka mkoani Ruvuma kuelekea jijini Dar es salaam.
Taarifa zilizothibitishwa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa watu wasiopungua 7 wamejeruhiwa na kukimbizwa katika hospital ya Mkoa wa Mtwara na huku kukiwa hakuna kifo chochote
Hata hivyo Makonda yuko salama.
This web site is my inhalation, very superb layout and perfect content.
I’m still learning from you, but I’m making my way to the top as well. I definitely liked reading everything that is posted on your blog.Keep the stories coming. I liked it!