Lori la mafuta lenye namba za Usajili T 851 APZ limeteketea Kwa moto katikati ya Mlima Sekenke, Mkoani Singida na kusababisha foleni kubwa ya magari yanayofanya safari zake kati ya Singida na Mkoa wa Tabora kupitia Igunga ambayo yamekwama kwa zaidi ya nusu saa, kufuatia lori hilo kugonga kingo za Mlima huo na kushika moto.

Kwa mujibu wa mashuhuda, lori hilo liligonga kingo za barabara na kuanza kuteketea huku mafuta yakimwagika, jambo lililozua taharuki kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Akiongea katika eneo la tukio hilo Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Selemani Mwenda amesema hakuna madhara yoyote yaliyotokea Kwa Binadamu na jitihada za kuwasiliana na Jeshi la Zimamoto Wilayani Igunga zimefanyika ili kurejesha mawasiliano ya barabara baina ya Mikoa hiyo miwili.

DC Mwenda alifika katika eneo hilo muda mfupi baada ya ajali hiyo kutokea akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Ally Hapi wakati wakiwa njiani kutoka Singida kuelekea mkoani Tabora kuhitimisha ziara ya Hapi ya Mikoa minne.
I enjoy your writing style genuinely loving this website .
Thank you, I have just been searching for info about this subject for a while and yours is the greatest I have found out till now. But, what in regards to the bottom line? Are you certain about the supply?
Perfect work you have done, this website is really cool with excellent information.
Can you be more specific about the content of your article? After reading it, I still have some doubts. Hope you can help me.
Thanks a bunch for sharing this with all people you really recognise what you’re talking approximately! Bookmarked. Please additionally visit my site =). We may have a link change arrangement among us!
Thanks a bunch for sharing this with all of us you actually know what you are talking about! Bookmarked. Kindly also visit my website =). We could have a link exchange arrangement between us!
After study a few of the blog posts on your website now, and I truly like your way of blogging. I bookmarked it to my bookmark website list and will be checking back soon. Pls check out my web site as well and let me know what you think.
Everyone loves what you guys are usually up too. Such clever work and coverage! Keep up the good works guys I’ve you guys to blogroll.