BAO lililofungwa na straika wa zamani wa Yanga na Azam, Obrey Chirwa dakika ya 61, limeiweka Simba kwenye mazingira magumu ya kuweza kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, ikilazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Kagera Sugar.
Simba ambayo jana jioni kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera, ilikuwa inamalizia mechi yake ya kiporo, ilitakiwa kushinda ili kuizidi Azam FC kwa kufikisha pointi 59, lakini kwa sare hiyo imetimiza pointi 57 sawa na Wanalambalamba hao, lakini ikisalia nafasi ya tatu ikizidiwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.
Matokeo hayo sasa yameirahisishia Yanga kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara, kwani iwapo itashinda mechi yake ya leo tu, itatawazwa kuwa mfalme wa soka kwa mara ya tatu mfululizo.
Also Read:Kibu Mambo Safi Na Simba : 300M Yambakisha
Yanga ambayo leo iko Uwanja wa Manungo Complex, Turiani mkoani Morogoro, kama ikishinda itafikisha pointi 71 ambazo haziwezi tena kufikiwa na timu yoyote kwenye Ligi Kuu.
Simba na Azam iwapo zitashinda mechi zote nne ambazo kila timu imesaliwa nazo, zitafikisha pointi 69.
Hata hivyo, Simba itabidi ijilaumu yenyewe kwa kukosa mabao mengi ya wazi, wakiongozwa na straika wao, Freddy Michael.
Wachezaji wa timu hiyo waliifanya wenyewe mechi kuwa ngumu, ambapo iliwezekana kuimaliza kipindi cha kwanza tu.
Ulikuwa ni uzembe wa beki, Che Malone Fondoh, ambaye alikuwa akimzungusha Abdallah Seseme pembeni mwa uwanja badala ya kuutoa nje, matokeo yake akajichanganya na kuwa kona, iliyopigwa na David Luhende na kuunganishwa vema nyavuni na Chirwa, bao ambalo limewaweka ‘Wekundu wa Msimbazi’ hao katika mashaka makubwa.
Mechi ilianza kwa kila timu kuonekana kumsoma mwenzake, huku Michael akipaswa ajilaumu mwenyewe kwa kuikosesha Simba bao la wazi dakika ya pili ya mchezo.
Ulikuwa mpira uliorudishwa bila uangalifu na beki wa Kagera Sugar, ambao ulinaswa na straika huyo raia wa Ivory Coast, kabla ya kumvuta upande wa kushoto kipa, lakini akiwa yeye na lango mguu wake ulishindwa kulenga lango na kupiga vyavu za nje, kiasi cha mashabiki wa timu hiyo kutoamini kilichotokea.
Kona fupi iliyopigwa na Luhende dakika ya 15, ilimkuta Mubarack Hamza ambaye aliuingiza langoni, ukapita mbele ya lango la Simba, lakini wachezaji wa Kagera Sugar walizubaa kuuwahi mpira ukatambaa taratibu na kutoka nje ya upande wa pili wa uwanja.
Ilikuwa ni dakika ya 23 wakati Ladack Chasambi, winga aliyesajiliwa dirisha dogo la usajili Januari mwaka huu, akitokea Mtibwa Sugar, alipoipatia Simba bao la shuti kali la mguu wa kulia, nje kidogo la eneo la hatari.
Bao hilo lilitokana na faulo iliyopigwa na Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, iliyomkuta Babakar Sarr, ambaye aliupiga mpira kichwa kuurudisha nyuma, ndipo ulipokutana na mchezaji huyo akiwa katika sehemu nzuri na kuukwamisha wavuni.
Kipa Ayoub Lakred, alifanya kazi ya ziada alipochupa hewani, akiruka pembeni upande wake wa kushoto na kulidaka kwa ustadi shuti kali lililopigwa na straika wa zamani wa timu hiyo, ambaye sasa anaichezea Kagera Sugar, Mbaraka Yusuph.
Kama wasingekuwa wabinafsi, wachezaji Chasambi na Balua wangeweza kuifanya timu hiyo kumaliza dakika 45 na mabao matatu, kwani walipata mpira na kuwalamba chenga mabeki wa timu pinzani, lakini badala ya kutoa pasi kwa wenzao ili wafunge kirahisi, wakalazimisha kufunga wao, badala yake walipiga mashuti yaliyogusa nyavu za pembeni.
Kipindi cha pili, Kagera Sugar walionekana kufunguka, na Simba kukaribisha mashambulizi mengi hadi walipopata bao la kusawazisha.
Baada ya hapo, Kagera Sugar nao walirudi nyuma na kuwaachia wachezaji wa Simba mpira ambao hawakuonekana kuwa wakatili langoni, badala yake walijikuwa wakijichanganya wenyewe.
Moja ya nafasi adhimu walioipata ilikuwa ni dakika kumi kabla ya mechi kumalizika, wakati Balua na Fred walipotegua mtengo wa kuotea na kubaki na kipa Mkongomani, Alain Ngeleka, lakini wao wenyewe waliugombea mpira na kuutoa nje badala ya kuukwamisha wavuni.
Very interesting subject , appreciate it for posting.
Hi there are using WordPress for your blog platform? I’m new to the blog world but I’m trying to get started and create my own. Do you require any coding knowledge to make your own blog? Any help would be really appreciated!
I don’t think the title of your article matches the content lol. Just kidding, mainly because I had some doubts after reading the article.
I know this if off topic but I’m looking into starting my own blog and was curious what all is required to get setup? I’m assuming having a blog like yours would cost a pretty penny? I’m not very web savvy so I’m not 100 sure. Any tips or advice would be greatly appreciated. Thank you
You got a very good website, Gladiolus I detected it through yahoo.
great submit, very informative. I’m wondering why the opposite experts of this sector don’t realize this. You should continue your writing. I’m confident, you’ve a great readers’ base already!
Hello. splendid job. I did not imagine this. This is a impressive story. Thanks!
This is a topic close to my heart cheers, where are your contact details though?
Pretty nice post. I just stumbled upon your weblog and wished to say that I have really enjoyed surfing around your weblog posts. After all I’ll be subscribing for your feed and I’m hoping you write again soon!
You made several nice points there. I did a search on the subject and found nearly all persons will have the same opinion with your blog.
You are a very clever individual!
hey there and thank you on your information – I’ve definitely picked up something new from right here. I did then again expertise a few technical points the use of this website, as I experienced to reload the web site lots of occasions previous to I could get it to load properly. I have been wondering in case your web host is OK? Not that I’m complaining, but sluggish loading circumstances instances will very frequently impact your placement in google and could injury your quality ranking if advertising and ***********|advertising|advertising|advertising and *********** with Adwords. Anyway I’m including this RSS to my email and can look out for much extra of your respective exciting content. Ensure that you replace this again soon..
Hello.This post was really motivating, particularly because I was looking for thoughts on this subject last Friday.
This is the right blog for anyone who wants to find out about this topic. You realize so much its almost hard to argue with you (not that I actually would want…HaHa). You definitely put a new spin on a topic thats been written about for years. Great stuff, just great!
Hi, just required you to know I he added your site to my Google bookmarks due to your layout. But seriously, I believe your internet site has 1 in the freshest theme I??ve came across. It extremely helps make reading your blog significantly easier.
Simply wish to say your article is as amazing. The clearness in your post is just cool and i could assume you’re an expert on this subject. Well with your permission allow me to grab your feed to keep up to date with forthcoming post. Thanks a million and please carry on the enjoyable work.
I really prize your piece of work, Great post.
Real clear internet site, appreciate it for this post.
Only wanna say that this is extremely helpful, Thanks for taking your time to write this.