Dark
Light

Sports - Page 16

Vita Ya Mfungaji Bora Ligi Kuu Yapamba Moto.

Ile vita ya Mfungaji wa ligi kuu Soka Tanzania Bara dhidi ya Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Simba Saidoo Ntibazonkinza na Mshambuliaji wa Young Africans Fiston Kalala Mayele Msimu uliopita, Vita iliomalizika Kwa sare ya Wote kulingana magoli (Goli 17)na Kuzua Tafrani
May 6, 2024

Mtibwa Itashuka Na Ndoto Za Vijana Wapenda Mpira

Mtibwa Sugar ina historia kubwa kwenye soka la Tanzania ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa Ligi Kuu mara mbili katikati ya Simba na Yanga. Hakuna asiekumbuka vipaji vilivyowahi kupita na kulelewa na baadae kuitumikia timu hiyo na hata kwenda kwenye timu
May 4, 2024

Simba Yaikimbiza Azam Kimya Kimya

Wakati zikibaki Siku chache kufikia Siku ya Dabi ya Mzizima, (Simba Vs Azam), Wekundu wa Msimbazi Simba leo wameibuka Wababe Dhidi ya Mtibwa Katika mechi ya ligi kuu iliyowakutanisha Mapema leo saa 10 Alaasiri, Ambapo Simba Ameweza kuibuka na Ushindi wa Bao
May 3, 2024

Simba Sets Record For Worst Results

Two goals allowed by Simba the day before yesterday at Majaliwa Stadium, Ruangwa in Lindi region, have set a record for the team of allowing the most goals in their goal net for the first time in nine seasons. In that Premier
May 2, 2024

FIFA Yaipiga Tena Rungu La Usajili Yanga

Ikiwa ni siku chache tu tangu ifungiwe na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kufanya usajili kutokana na kukiuka kanuni za uhamisho, Klabu ya Yanga imechafua tena faili lake katika shirikisho hilo baada ya kuzuiwa kwa mara ya pili kusajili kutokana na
May 1, 2024

Kunani; TFF na Yanga?

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Aprili 12, mwaka huu, lilitoa taarifa kwa umma kupitia mtandao wake wa kijamii, likieleza kupokea taarifa kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), juu ya kufungiwa kwa Klabu ya Yanga kufanya usajili kutokana na kukiuka
April 29, 2024

Shabiki Ajitokeza Peke Yake Uwanjani

Mechi ya ligi daraja la tatu nchini Ufaransa iliyochezwa jana usiku  kati ya Nancy  dhidi ya Le Mans, shabiki mmoja pekee wa Le Mans alikuwa uwanjani kuishangilia timu yake. Shabiki huyo wa Le Mans inaelezwa alisafiri umbali mrefu wa saa sita hadi
April 28, 2024

Fainali ya CCC Yawaangukia Waarabu

Wahenga walipo sema waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba hawakukosea na Aijuae njia katu hapotei, Fainali ya Vilabu Bingwa Afrika Itawakutanisha Timu ya karne kutoka Misri @alahly na Miamba kutoka Tunisia @esperance_sportive_detunis na hii ni baada ya timu zote kufuzu katika mchezo wa nusu Fainali
April 27, 2024
1 14 15 16 17 18 23