Dark
Light

Sports - Page 18

Mashabiki Wa Simba Waujia Juu Uongozi

Mashabiki Wa Simba Wametoa Neno Juu Ya Matokeo Ya Timu Yao Baada Ya Kufurumushwa Kwenye Michuano Ya Ligi Ya Mabingwa Afrika Pamoja na CRDB Confederation Cup. Mashabiki Hao Waliopo Kawe Kanisani,Wamezungumza Na Media Wire Na Kueleza Ni Jinsi gani Mwenendo wa Matokeo
April 12, 2024

Eng. Hersi Ampa Heshima Dkt Malecela

Rais wa klabu ya Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika, Eng. Hersi Said, Amefanya ziara ya kipekee kwa Dkt. John Samuel Malecela, Aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano
April 10, 2024

Yanga SC Yatuma Malalamiko CAF Kudhulumiwa Goli

Klabu ya Yanga SC imeandika barua ya malalamiko kwa CAF kufuatia kukataliwa kwa goli la Azizi Ki dakika ya 57 dhidi ya Mamelodi Sundowns katika michuano ya CAF Champions League hatua ya robo fainali, Refa wa mchezo huo Raia wa Mauritania, Dehane
April 6, 2024

Yanga Imefungua Tawi Lao Afrika Kusini

Klabu ya Young Africans Imefungua Tawi Lake Huko Nchini Pretoria Nchini Afrika Ya Kusini; Nia ikiwa kutanua Zaidi Nembo ya Klabu hio na Kuwaunganisha Mashabiki wake Waliomo Nchini Humo. Akiongea na Wanachama ,Viongozi Pamoja Na Wanahabari, Rais wa Timu hiyo Amesema Timu
April 4, 2024

Lionel Messi Reveals No Retirement Plans Yet

Age, they say, is just a number – an adage that appears to ring true for soccer star  Lionel Messi In an interview with the 36-year-old Messi revealed that he doesn’t see his advancing years as an important factor in determining when
March 28, 2024

Mamadou Gaye Awaonya Mamelodi Dhidi Ya Yanga

Klabu ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini Imetahadharishwa juu ya mechi yao Klabu bingwa dhidi ya Yanga utakaocheza jumamosi 30 Machi 2024.   Tahadhari hiyo imetolewa na Mwandishi nguli wa habari za michezo barani Afrika Mamadou Gaye amezungumza na PitchSide Podcast ya
March 26, 2024
1 16 17 18 19 20 23