Dark
Light

Sports - Page 15

Gardiola Amlilia Klopp; “Nitammiss Sana”

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amefunguka kwa hisia alipo ulizwa na waandishi wa habari kuhusu kuondoka kwa mpinzani wake wa muda mrefu EPL Jurgen Klopp [Kocha wa Liverpool] Pep amekiri  hayo jana baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Man City
May 20, 2024

EPL Kumalizika Leo kwa Michezo 10

Ligi Kuu England inatarajia kumalizika rasmi leo Mei 19, kwa michezo 10 huku macho na masikio ya wapenzi wa kandanda yakielekezwa kwenye michezo miwili ya kukata na shoka ambayo itaamua nani atakuwa bingwa wa Ligi hiyo kwa msimu huu wa 2023/24. Mabingwa
May 19, 2024

Viongozi Simba Wasema “No” Ofa Ya Chama

Wakati Simba wakiendelea kuwapa mikataba mipya baadhi ya wachezaji wake, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Mzambia, Clatous Chama, amesema anahitaji kulipwa Dola za Marekani 300,000 ( zaidi ya Sh. milioni 765), ili akubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Taarifa
May 18, 2024

Gamondi: Yanga Has Not Yet Achieved Its Goals.

Despite successfully winning the Premier League title this season with three games remaining, Yanga coach Miguel Gamondi has stated that they have not yet achieved their goals for the season until they win the FA Cup. The coach has reminded his players
May 17, 2024

Manula Anukia Viunga Vya Azam

Uongozi wa Azam FC umedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa Mlinda Lango namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada ya msimu huu kufikia tamati. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinaeleza kwamba viongozi wanataka kumrejesha nyota huyo aliyeondoka ndani ya kikosi hicho
May 16, 2024

Simba Yakubali Yaishe, Yarusha Kitambaa Ulingoni

BAO lililofungwa na straika wa zamani wa Yanga na Azam, Obrey Chirwa dakika ya 61, limeiweka Simba kwenye mazingira magumu ya kuweza kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, ikilazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Kagera Sugar. Simba ambayo jana jioni kwenye
May 13, 2024

Chehe za Mgunda Baada ya Matokeo Mazuri Mfululizo

Kaimu kocha mkuu wa klabu ya Simba, Juma Mgunda, amefichua kile ambacho amekifanya kwa wachezaji wake ambao sasa wamekuwa wakipambana uwanjani na kupata matokeo mazuri kwenye michezo yao ya Ligi kuu. Mgunda amesema kuwaweka wachezaji wake karibu na kuongea nao kama mzazi
May 11, 2024

Kibu Mambo Safi Na Simba : 300M Yambakisha

Baada  ya mvutano mkubwa kati ya klabu ya Simba na mshambuliaji wake Kibu Denis juu ya kusaini mkataba mpya, taarifa zinasema kuwa pande hizo mbili hatimaye zimefikia makubaliano na nyota huyo atasalia klabuni hapo kwa misimu miwili zaidi. Taarifa ya uhakika zinasema
May 10, 2024

Yanga Yamtamani Kibu Denis: Yaweka 150M Kumnasa

Yanga ni kama imeamua kujiimarisha zaidi kwa ajili ya msimu ujao, inaelezwa chini ya Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, wameanza mazungumzo na nyota wa Simba, Kibu Denis. Mkataba wa mchezaji huyo na Simba unaisha mwishoni mwa msimu huu ingawa Simba wanataka
May 9, 2024
1 13 14 15 16 17 23