Dark
Light

Tanzania

Latest

Devastating Landslides Bury 670 in Papua New Guinea Tragedy

May 26, 2024
About 670 people are estimated to be buried under large landslides in Papua New Guinea, a United Nations official says. The head of the International Organization for Migration in Papua New Guinea, Serhan Aktoprak, said the impact of Friday’s landslides in the

Who Is Leading The Coastal Union, Azam Or Simba?

May 26, 2024
Yesterday was a day of joy and tears for some teams participating in the Tanzanian Premier League. The happiness was evident among the Coastal Union players from Tanga city. This comes after the team secured their participation in the Confederation Cup in

Frateri Aliyejinyonga Azikwa Kimya Kimya

May 26, 2024
Ni siku chache zimepita baada ya  kuenea kwa taarifa ya kujinyonga kwa Frateri Rogassuan Massawe aliyedaiwa kujinyonga baada ya kufeli mtihani wa kumvusha daraja moja kwenda jingine katika masomo ya u padre , mwili wake umeweza kupumzishwa huku mamia ya watu wakijitokeza

TACAIDS Yaanika Sababu Ya VVVU kuongezeka

May 26, 2024
Siku tatu baada ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kutoa ripoti ya hali ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) na magonjwa ya zinaa, Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) imeizungumzia ripoti hiyo, ikitaja ugumu inaokabiliana nao katika kuzuia maambukizi mapya

Dereva Shabiby Atuhumiwa Kusababisha Ajali majeruhi 22

May 25, 2024
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva wa basi la kampuni ya Shabiby, Sadick Marugul, akituhumiwa kusababisha ajali iliyojeruhi watu 22 mapema leo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP. Alex Mkama, amesema ajali hiyo imetokea katika eneo la Kihonda kwa

Nchi Wanachama Kukuza Amani Na Usalama Afrika

May 25, 2024
Katika maadhimisho ya kuadhimisha miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewaomba nchi wanachama kujitolea zaidi katika jitihada za kuleta na kudumisha amani
1 645 646 647 648 649 802