Dark
Light

Tanzania

Latest

Kariakoo Market Set to Reopen in August

May 27, 2024
The construction and refurbishment of Kariakoo market is at 93% completion and is set to open in August this year. The main two-storey Kariakoo market was destroyed by fire in July 2021. The extension, known as the coconut market, has been rebuilt

Kesi Ya Jenerali Bunyoni Kusikilizwa Leo

May 27, 2024
Kesi inayomuhusu Waziri Mkuu wa zamani wa Burundi Jenerali Alain Guillaume Bunyoni inatarajiwa kusikilizwa leo baada ya kukata rufaa katika Mahakama ya rufaa. Mahakama ya juu ya Burundi ilimuhukumu Waziri Mkuu wa zamani Alain-Guillaume Bunyoni kifungo cha maisha jela baada ya kumpata

Kuimarisha Afya Kupitia Mtindo Bora Wa Maisha

May 27, 2024
Katika hatua ya kukabiliana na magonjwa Yasiyoambukiza, Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza mikakati mbalimbali ikiwemo kampeni ya kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuzingatia mtindo bora wa maisha. Akizungumza hivi karibuni wakati wa matembezi yaliyoandaliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) yanayojulikana kama

Mke Amuua Mume Kisa Wivu Wa Mapenzi

May 26, 2024
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia Beatrice Elias (36), mkazi wa Mtaa wa Katanini Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua mumewe, Ephagro Msele (43) kwa madai ya kumkuta kwa mzazi mwenzake. Kwa mujibu wa watu wa karibu na Msele, Mei

Burkina Faso Yaongeza Muda Wa Utawala Wa Kijeshi

May 26, 2024
Serikali ya mpito ya Burkina Faso imeongezwa muda kwa miaka mitano kufuatia kupitishwa kwa katiba iliyofanyiwa marekebisho katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano. Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Kapteni Ibrahim Traoré alitia saini mkataba huo uliorekebishwa mjini Ouagadougou siku ya Jumamosi, na
1 644 645 646 647 648 802