Dark
Light

Tanzania - Page 277

Tanzania Surpasses Maternal and Child Mortality Goals

The Tanzanian government has announced remarkable achievements in its efforts to reduce maternal and child mortality rates. Deputy Minister of Health, Dr. Godwin Mollel, informed Parliament in Dodoma that the mortality rate has decreased from 556 per 100,000 live births in 2016
June 24, 2024

Tanzania Makes Strides in National ID Distribution

The government has made substantial progress in the production and distribution of national identity cards (IDs). As of May 2024, the National Identification Authority (NIDA) had issued 21,322,098 IDs, covering 86% of the 24,818,138 registered citizens. This advancement is part of a
June 24, 2024

Dar Es Salaam Hosts Guinea-Bissau President for SGR Tour

President Umaro Sissoco Embaló of Guinea-Bissau embarked on an official visit to the country’s commercial capital, Dar Es s Salaam. The highlight of his visit was an extensive tour of the Standard Gauge Railway (SGR) project, a cornerstone of Tanzania’s efforts to
June 24, 2024

Wahasisi wa Maandaano Kariakoo Matatani

Jeshi la Polisi Nchini limesema kuwa tangu Juni 22, 2024 kupitia baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kulionekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kilichosomeka “KUFUNGA BIASHARA ZETU”. Akitoa taarifa hiyo leo jijini Arusha Msemaji wa Jeshi la
June 23, 2024

Watumishi wa Afya Longido Kupatiwa Nyumba

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, ameziagiza Timu za Afya za mkoa na wilaya kutoa kipaumbele katika kuwapatia makazi watumishi wa sekta ya afya wa Wilaya ya Longido. Dkt. Mollel amezitaka timu za uendeshaji wa huduma za afya (CHMT) wilayani Longido
June 23, 2024

Msako wa Dada Poa Bado Upo Palepale – Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameendelea kutoa msimamo na kusisitiza suala la oparesheni ya kuwakamata Madada Poa lililoanzishwa na DC wa Ubungo, Hassan Bomboko ni zoezi endelevu na kusema litaendelea kufanywa na Wakuu wote wa Wilaya za Dar
June 23, 2024

Muhula wa Rais Mwinyi Kuongezwa hadi Miaka Saba

Sekretarieti ya Kamati Maalum ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar imependekeza kuongeza muda wa muhula wa Rais Hussein Mwinyi kutoka miaka mitano hadi saba. Pendekezo hili, likipitishwa na Kamati Maalum, linaashiria mabadiliko makubwa katika taswira ya kisiasa ya Zanzibar, likichochewa na utendaji
June 23, 2024

Njia Mpya za Mabasi Kigamboni-Katikati Ya Jiji

Kwa lengo la kuboresha usafiri wa mijini, safu mpya ya njia za mabasi imetambulishwa inayounganisha Kigamboni na maeneo ya katikati ya jiji. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) iliyotangaza jana kupitia akaunti yao rasmi ya Instagram, imezindua njia tatu mpya za
June 22, 2024
1 275 276 277 278 279 371