Dark
Light

Sports - Page 15

Cristiano Ronaldo To Retire From Football For Family

Football legend Cristiano Ronaldo has hinted that his extraordinary career may soon come to an end, revealing that he plans to step away from the game to focus on his family. Speaking in an emotional interview on Piers Morgan Uncensored, the 40-year-old
November 7, 2025

Simba Yaikimbiza Azam Kimya Kimya

Wakati zikibaki Siku chache kufikia Siku ya Dabi ya Mzizima, (Simba Vs Azam), Wekundu wa Msimbazi Simba leo wameibuka Wababe Dhidi ya Mtibwa Katika mechi ya ligi kuu iliyowakutanisha Mapema leo saa 10 Alaasiri, Ambapo Simba Ameweza kuibuka na Ushindi wa Bao
May 3, 2024

Simba Sets Record For Worst Results

Two goals allowed by Simba the day before yesterday at Majaliwa Stadium, Ruangwa in Lindi region, have set a record for the team of allowing the most goals in their goal net for the first time in nine seasons. In that Premier
May 2, 2024

FIFA Yaipiga Tena Rungu La Usajili Yanga

Ikiwa ni siku chache tu tangu ifungiwe na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kufanya usajili kutokana na kukiuka kanuni za uhamisho, Klabu ya Yanga imechafua tena faili lake katika shirikisho hilo baada ya kuzuiwa kwa mara ya pili kusajili kutokana na
May 1, 2024

Kunani; TFF na Yanga?

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Aprili 12, mwaka huu, lilitoa taarifa kwa umma kupitia mtandao wake wa kijamii, likieleza kupokea taarifa kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), juu ya kufungiwa kwa Klabu ya Yanga kufanya usajili kutokana na kukiuka
April 29, 2024

Shabiki Ajitokeza Peke Yake Uwanjani

Mechi ya ligi daraja la tatu nchini Ufaransa iliyochezwa jana usiku  kati ya Nancy  dhidi ya Le Mans, shabiki mmoja pekee wa Le Mans alikuwa uwanjani kuishangilia timu yake. Shabiki huyo wa Le Mans inaelezwa alisafiri umbali mrefu wa saa sita hadi
April 28, 2024

Fainali ya CCC Yawaangukia Waarabu

Wahenga walipo sema waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba hawakukosea na Aijuae njia katu hapotei, Fainali ya Vilabu Bingwa Afrika Itawakutanisha Timu ya karne kutoka Misri @alahly na Miamba kutoka Tunisia @esperance_sportive_detunis na hii ni baada ya timu zote kufuzu katika mchezo wa nusu Fainali
April 27, 2024

Arne Slot in Talks To Succeed Klopp

Liverpool and Feyenoord are heading towards finalising an agreement for Arne Slot to become Jurgen Klopp’s successor  Talks still remain over appointing Arne Slot after Feyenoord turned down their opening offer for the head coach; Slot has now publicly revealed he wants
April 26, 2024

Bilioni 19.7 Kukarabati Uwanja Wa Uhuru

Neema Imeendelea kumwagika katika sekta ya michezo ikiwemo ukarabati wa viwanja Mbali Mbali na sasa Uwanja wa Uhuru uliopo Pembezoni kidogo mwa uwanja wa Mkapa Utafanyiwa marekebisho makubwa Huku shilingi Bilioni 19.07 Zikielekeza kutekeleza Adhma ya ukarabati Huo. Akizungumza na Wadau na
April 25, 2024

Arsenal Crushes Chelsea 5-0 in London Derby

The Gunners fire five past the Blues for their biggest victory against their London rivals. Leandro Brossard’s fourth-minute drive gave the home side a deserved half-time lead. The two second-half braces from Ben White and Kai Havertz, however, helped hammer Mauricio Pochettino’s
April 24, 2024
1 13 14 15 16 17 22