Dark
Light

Sports - Page 15

Ukraine Peace Talks Resume Amid Rising Tensions

Fresh efforts to end the nearly four‑year war between Ukraine and Russia resumed in Geneva this week, but diplomats are struggling to bridge fundamental differences as fighting continues at an intense pace. On Tuesday, Ukrainian and Russian negotiators convened in a third
February 18, 2026

Kibu Mambo Safi Na Simba : 300M Yambakisha

Baada  ya mvutano mkubwa kati ya klabu ya Simba na mshambuliaji wake Kibu Denis juu ya kusaini mkataba mpya, taarifa zinasema kuwa pande hizo mbili hatimaye zimefikia makubaliano na nyota huyo atasalia klabuni hapo kwa misimu miwili zaidi. Taarifa ya uhakika zinasema
May 10, 2024

Yanga Yamtamani Kibu Denis: Yaweka 150M Kumnasa

Yanga ni kama imeamua kujiimarisha zaidi kwa ajili ya msimu ujao, inaelezwa chini ya Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, wameanza mazungumzo na nyota wa Simba, Kibu Denis. Mkataba wa mchezaji huyo na Simba unaisha mwishoni mwa msimu huu ingawa Simba wanataka
May 9, 2024

Vita Ya Mfungaji Bora Ligi Kuu Yapamba Moto.

Ile vita ya Mfungaji wa ligi kuu Soka Tanzania Bara dhidi ya Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Simba Saidoo Ntibazonkinza na Mshambuliaji wa Young Africans Fiston Kalala Mayele Msimu uliopita, Vita iliomalizika Kwa sare ya Wote kulingana magoli (Goli 17)na Kuzua Tafrani
May 6, 2024

Mtibwa Itashuka Na Ndoto Za Vijana Wapenda Mpira

Mtibwa Sugar ina historia kubwa kwenye soka la Tanzania ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa Ligi Kuu mara mbili katikati ya Simba na Yanga. Hakuna asiekumbuka vipaji vilivyowahi kupita na kulelewa na baadae kuitumikia timu hiyo na hata kwenda kwenye timu
May 4, 2024

Simba Yaikimbiza Azam Kimya Kimya

Wakati zikibaki Siku chache kufikia Siku ya Dabi ya Mzizima, (Simba Vs Azam), Wekundu wa Msimbazi Simba leo wameibuka Wababe Dhidi ya Mtibwa Katika mechi ya ligi kuu iliyowakutanisha Mapema leo saa 10 Alaasiri, Ambapo Simba Ameweza kuibuka na Ushindi wa Bao
May 3, 2024

Simba Sets Record For Worst Results

Two goals allowed by Simba the day before yesterday at Majaliwa Stadium, Ruangwa in Lindi region, have set a record for the team of allowing the most goals in their goal net for the first time in nine seasons. In that Premier
May 2, 2024

FIFA Yaipiga Tena Rungu La Usajili Yanga

Ikiwa ni siku chache tu tangu ifungiwe na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kufanya usajili kutokana na kukiuka kanuni za uhamisho, Klabu ya Yanga imechafua tena faili lake katika shirikisho hilo baada ya kuzuiwa kwa mara ya pili kusajili kutokana na
May 1, 2024
1 13 14 15 16 17 22