Dark
Light

Sports - Page 14

Cristiano Ronaldo To Retire From Football For Family

Football legend Cristiano Ronaldo has hinted that his extraordinary career may soon come to an end, revealing that he plans to step away from the game to focus on his family. Speaking in an emotional interview on Piers Morgan Uncensored, the 40-year-old
November 7, 2025

Gamondi: Yanga Has Not Yet Achieved Its Goals.

Despite successfully winning the Premier League title this season with three games remaining, Yanga coach Miguel Gamondi has stated that they have not yet achieved their goals for the season until they win the FA Cup. The coach has reminded his players
May 17, 2024

Manula Anukia Viunga Vya Azam

Uongozi wa Azam FC umedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa Mlinda Lango namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada ya msimu huu kufikia tamati. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinaeleza kwamba viongozi wanataka kumrejesha nyota huyo aliyeondoka ndani ya kikosi hicho
May 16, 2024

Simba Yakubali Yaishe, Yarusha Kitambaa Ulingoni

BAO lililofungwa na straika wa zamani wa Yanga na Azam, Obrey Chirwa dakika ya 61, limeiweka Simba kwenye mazingira magumu ya kuweza kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, ikilazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya Kagera Sugar. Simba ambayo jana jioni kwenye
May 13, 2024

Chehe za Mgunda Baada ya Matokeo Mazuri Mfululizo

Kaimu kocha mkuu wa klabu ya Simba, Juma Mgunda, amefichua kile ambacho amekifanya kwa wachezaji wake ambao sasa wamekuwa wakipambana uwanjani na kupata matokeo mazuri kwenye michezo yao ya Ligi kuu. Mgunda amesema kuwaweka wachezaji wake karibu na kuongea nao kama mzazi
May 11, 2024

Kibu Mambo Safi Na Simba : 300M Yambakisha

Baada  ya mvutano mkubwa kati ya klabu ya Simba na mshambuliaji wake Kibu Denis juu ya kusaini mkataba mpya, taarifa zinasema kuwa pande hizo mbili hatimaye zimefikia makubaliano na nyota huyo atasalia klabuni hapo kwa misimu miwili zaidi. Taarifa ya uhakika zinasema
May 10, 2024

Yanga Yamtamani Kibu Denis: Yaweka 150M Kumnasa

Yanga ni kama imeamua kujiimarisha zaidi kwa ajili ya msimu ujao, inaelezwa chini ya Rais wa klabu hiyo, Hersi Said, wameanza mazungumzo na nyota wa Simba, Kibu Denis. Mkataba wa mchezaji huyo na Simba unaisha mwishoni mwa msimu huu ingawa Simba wanataka
May 9, 2024

Vita Ya Mfungaji Bora Ligi Kuu Yapamba Moto.

Ile vita ya Mfungaji wa ligi kuu Soka Tanzania Bara dhidi ya Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Simba Saidoo Ntibazonkinza na Mshambuliaji wa Young Africans Fiston Kalala Mayele Msimu uliopita, Vita iliomalizika Kwa sare ya Wote kulingana magoli (Goli 17)na Kuzua Tafrani
May 6, 2024

Mtibwa Itashuka Na Ndoto Za Vijana Wapenda Mpira

Mtibwa Sugar ina historia kubwa kwenye soka la Tanzania ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa Ligi Kuu mara mbili katikati ya Simba na Yanga. Hakuna asiekumbuka vipaji vilivyowahi kupita na kulelewa na baadae kuitumikia timu hiyo na hata kwenda kwenye timu
May 4, 2024
1 12 13 14 15 16 22