Dark
Light

Sports - Page 14

Morocco Crowned Champions After Senegal Forfeit

In a stunning development in African football, Senegal has been stripped of its Africa Cup of Nations title from a chaotic final held just two months ago, with Morocco now officially declared the champions. The Confederation of African Football (CAF) announced on
March 18, 2026

Eto’o Amvaa Kwa Maneno Kocha Mpya Cameroon

Mpira wa miguu wa Cameroon ulizidi kuzama katika mgogoro siku ya Jumanne wakati mkutano kati ya rais wa chama cha mpira wa miguu Samuel Eto’o na kocha mpya wa Kibelgiji Marc Brys ulipogeuka kuwa mvutano wa hasira. Ilikuwa mara ya kwanza kwa
May 29, 2024

Ronaldo Azeeka Na Utamu Wake,Aweka Rekodi Mpya

Wahenga wanasema anaeijua njia hakosei, kwa takribani miongo miwili ya maisha yake ya mpira mchezaji wa Timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Al Nassir ya huko Saudi Arabia  amekuwa mfumania nyavu borawa muda wote licha ya panda na shuka za
May 28, 2024

Who Is Leading The Coastal Union, Azam Or Simba?

Yesterday was a day of joy and tears for some teams participating in the Tanzanian Premier League. The happiness was evident among the Coastal Union players from Tanga city. This comes after the team secured their participation in the Confederation Cup in
May 26, 2024

Bernabeu Kugeuzwa Ukumbi wa Harusi Kisa Madeni

Hali ya madeni ni mbaya kwa Real Madrid na hii imepelekea kuanza kuandaa harusi katika uwanja wao wa Bernabeu kama njia mojawapo ya kukusanya fedha ya kulipa mikopo ya mabilioni ya fedha waliyokopa kwa ajili ya kufadhili ukarabati wa uwanja huo. Kwa
May 24, 2024

Gardiola Amlilia Klopp; “Nitammiss Sana”

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amefunguka kwa hisia alipo ulizwa na waandishi wa habari kuhusu kuondoka kwa mpinzani wake wa muda mrefu EPL Jurgen Klopp [Kocha wa Liverpool] Pep amekiri  hayo jana baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Man City
May 20, 2024

EPL Kumalizika Leo kwa Michezo 10

Ligi Kuu England inatarajia kumalizika rasmi leo Mei 19, kwa michezo 10 huku macho na masikio ya wapenzi wa kandanda yakielekezwa kwenye michezo miwili ya kukata na shoka ambayo itaamua nani atakuwa bingwa wa Ligi hiyo kwa msimu huu wa 2023/24. Mabingwa
May 19, 2024

Viongozi Simba Wasema “No” Ofa Ya Chama

Wakati Simba wakiendelea kuwapa mikataba mipya baadhi ya wachezaji wake, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Mzambia, Clatous Chama, amesema anahitaji kulipwa Dola za Marekani 300,000 ( zaidi ya Sh. milioni 765), ili akubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Taarifa
May 18, 2024

Gamondi: Yanga Has Not Yet Achieved Its Goals.

Despite successfully winning the Premier League title this season with three games remaining, Yanga coach Miguel Gamondi has stated that they have not yet achieved their goals for the season until they win the FA Cup. The coach has reminded his players
May 17, 2024

Manula Anukia Viunga Vya Azam

Uongozi wa Azam FC umedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa Mlinda Lango namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada ya msimu huu kufikia tamati. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zinaeleza kwamba viongozi wanataka kumrejesha nyota huyo aliyeondoka ndani ya kikosi hicho
May 16, 2024
1 12 13 14 15 16 22