Dark
Light

Tanzania

Latest

Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu Yashika Kasi

May 6, 2024
Leo hii, Tanzania inashuhudia kuanza rasmi kwa mitihani muhimu ya Kidato cha Sita (ACSEE) na Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada. Hatua hii muhimu inaambatana na matarajio makubwa kutoka kwa wanafunzi, walimu, na wazazi kote nchini. Kulingana na taarifa iliyotolewa na Ofisi

Charleston Spearfisher Survives Shark Attack at Sea

May 5, 2024
A shark attack occurred off the coast of Charleston, South Carolina on Thursday while a man was spearfishing, as reported by Coast Guard Sector Charleston. The victim, a 65-year-old individual, sustained the bite approximately 20 miles from the Charleston shoreline, stated Petty

Serikali Yadhamiria Kuboresha Huduma za Ukunga

May 5, 2024
Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuboresha huduma za Ukunga sambamba na kuongeza idadi yao ili kupunguza vifo vya watoto wa mchanga. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 5, 2024 kwenye siku ya Mkunga duniani ambapo mgeni

Kinana Awavaa Chadema,Muungano Watajwa

May 5, 2024
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana amesema Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) wamepata uhuru mkubwa wa kufanya maandamano nchi nzima lakini bado wamekituhumu chama cha mapinduzi na serikali kwa mambo ya uongo hayo yamejiri  leo, Jumapili Mei 05.2024 alipokuwa

Msonde Awataka Walimu Kutumia Nyezo Kuelewesha Wanafunzi

May 5, 2024
Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri masomo badala ya kuharakisha kumaliza mada (Topics). Dkt. Msonde amesema hayo wakati

TANROADS Mzigoni Kutatua Athari za Hidaya Kusini

May 5, 2024
 Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakandarasi wanaendelea na kazi ya kurejesha miundombinu ya Barabara ya Lindi – Dar- es Salaam ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zikiambatana na kimbunga Hidaya. Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi Mha. Emil Zengo ameyasema hayo

Director Khalfani Afariki Dunia

May 5, 2024
Aliyekuwa muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro‘ amefariki Dunia alfajir ya leo tarehe 5 May 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Taarifa zilieleza kuwa Khalfani alilazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taasisi ya
1 573 574 575 576 577 710