Dark
Light

Tanzania - Page 316

UDOM Lecturer Faces Terrorism Charge

A legal case involving a University of Dodoma lecturer has entered a new and more serious phase after prosecutors formally charged Melkisedek Kaijage with a terrorism-related offence, transforming what initially appeared as a dispute over alleged public protest activities into a case
July 24, 2026

Teuzi Rais Samia Amteua Kasore Na Shirima

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amechukua hatua muhimu katika kuimarisha uongozi na utendaji kwa kufanya uteuzi wa viongozi katika maeneo ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi, pamoja na sekta ya nishati. Katika uteuzi huo wenye
April 13, 2024

Waziri Ummy Aongoza Wananchi Matembezi Ya Afya

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu, ameongoza mamia ya wananchi leo, Aprili 13, 2024, katika matembezi ya hisani ambayo yamefanyika kwa pamoja na zoezi la upimaji afya, likijumuisha vipimo vya shinikizo la juu la damu (presha) na sukari. Matembezi hayo yalikuwa sehemu
April 13, 2024

CCM Moto Umewaka, Makalla Aapa Kukitetea CHama.

Mhe, Amos Makalla, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ametoa taarifa muhimu baada ya kuwasili Jijini Dodoma kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo. Akizungumza na wananchi Makalla ameeleza kuwa yuko tayari kushiriki katika mdahalo
April 13, 2024

RC Makonda Adai Mawaziri Wanawalipa Watu Kumtukana Rais

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka watu wanaotumia fedha kuwatuma watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan mtandaoni kuacha mara moja na endapo wataendelea, Jumatatu ya Aprili 15,2024 atawajata. Makonda amesema, “Wapo watu wanaotumia fedha kuwaagiza watu kumtukana Rais Samia, naomba
April 12, 2024

Mashabiki Wa Simba Waujia Juu Uongozi

Mashabiki Wa Simba Wametoa Neno Juu Ya Matokeo Ya Timu Yao Baada Ya Kufurumushwa Kwenye Michuano Ya Ligi Ya Mabingwa Afrika Pamoja na CRDB Confederation Cup. Mashabiki Hao Waliopo Kawe Kanisani,Wamezungumza Na Media Wire Na Kueleza Ni Jinsi gani Mwenendo wa Matokeo
April 12, 2024

Tanzania Mwenyeji Mkutano Wa 6 CASSOA

Mkutano wa sita wa Taasisi inayosimamia Ulinzi na Usalama wa Usafiri wa Anga Afrika Mashariki (CASSOA) unatarajia kufanyika kuanzia tarehe 15 hadi 16 Mei 2024 , katika Hoteli ya Verde visiwani Zanzibar. Mkutano huo utawakutanisha wadau muhimu wa Usafiri wa Anga ikiwa
April 12, 2024
1 314 315 316 317 318 369