Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Tanzania - Page 222

Tsh Trilioni 44.19 Zaombwa Na Wizara Ya Fedha

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuiidhinishia wizara yake makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha Shilingi trilioni 44.19, kati ya makadirio ya Shilingi trilioni 49.35 za Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka
June 4, 2024

Government Vows Support, Teachers’ Concerns Addressed

The government has assured all teachers in Sengerema District that it will continue to address various challenges they face to ensure they work in conducive environments. This assurance was given by the Director of Education from the President’s Office – Regional Administration
June 4, 2024

Government Urges Environmental Units to Act

Deputy Prime Minister and Minister of Energy, Hon. Dr. Doto Biteko, has called on Environmental Departments and Units within government ministries and institutions to continue diligently fulfilling their fundamental duties aimed at mitigating environmental impacts in the country. Dr. Biteko made this
June 4, 2024

Mkutano wa Baraza La Mawaziri EAC Waanza Leo

Mkutano 33 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri linaloshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango umeanza leo tarehe 3 Juni 2024 jijini Arusha. Mkutano huo wa siku tano kuanzia Juni 3-7, 2024 umeanza kwa Ngazi ya Wataalam na baadaye utafuatiwa na Ngazi
June 3, 2024

Bodi Ya Maziwa Yapewa Maagizo Na Serikali

Serikali imeiagiza Bodi ya Maziwa Nchini kujadili kwa haraka na kutatua tatizo la vifungashio vya maziwa vinavyofanya bei ya maziwa kuwa juu na kufanya wananchi kushindwa kumudu bei hivyo kuongeza hali ya udumavu kwa watoto nchini. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri
June 3, 2024

Premier Graces Chato Landing Site Construction

Prime Minister Kassim Majaliwa has laid the foundation stone for a landing site and fish market construction in Chato district, Geita region. The projects aim to enhance the local economy, with a focus on involving fishermen and farmers in development plans. During
June 3, 2024

Wataalam Wapanga Mikakati Sekta ya Posta

Wataalam kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) wametakiwa kuandaa mikakati madhubuti ya kukabiliana na changamoto zinazokabili sekta ya posta. Wito huu umetolewa na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Dk. Mzee Suleiman Mndewa, wakati wa
June 3, 2024

Mwakinyo Awaomba Msamaha Mashabiki Zake

Sakata la pambano la Bondia Hassan Mwakinyo na Patrick Allotey kutoka Ghana limemalizika rasmi baada ya wawili hao kuzichapa usiku wa kuamkia leo. Mwakinyo ameshinda pambano hilo lilofanyika Dar es salaam kwa TKO baada ya Allotey kushindwa kuendelea na pambano raundi ya
June 2, 2024
1 220 221 222 223 224 303