Dark
Light

Sports - Page 16

Cristiano Ronaldo To Retire From Football For Family

Football legend Cristiano Ronaldo has hinted that his extraordinary career may soon come to an end, revealing that he plans to step away from the game to focus on his family. Speaking in an emotional interview on Piers Morgan Uncensored, the 40-year-old
November 7, 2025

“Mbio Za Ubingwa Bado Mbichi”- Kocha Gamondi

Licha ya kuchora ramani nzuri ya kutwaa taji la ubingwa kwa msimu huu, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameendelea kusisitiza kuwa wanahitaji kupambana na kujitoa katika michezo iliyosalia ya mzunguko huu wa lala salama Ligi Kuu Tanzania Bara ili kufikia malengo
April 22, 2024

Kunauhusiano Gani Kati Ya Dabi Na Mvua?

Wahenga walitangulia Kusema, Apigae Mbija Mwishoe Huimba, Naukiona Mawingu Yametanda Angani, Basi Inakaribia Kunyesha. Wahenga Si wendawazimu Kuyasema Haya, Nayathibitisha Kwa ukakamavu Nikiifikiria Kesho (20/04/2024) , Siku ya Derby ya Kariakoo , Mechi Iwakutanishayo Wanasimba Na Yanga Katika Dimba la Benjamin Mkapa
April 19, 2024

Proffesa Zouzoua Kucheza Dabi ,Swala La Muda Tu

ZIKIWA siku mbili kabla ya mechi ya ‘Derby’ ya Kariakoo, Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameanza mazoezi ya ushindani na wachezaji wenzake baada ya kukaa nje ya uwanja kwa siku 29 akiuguza jeraha la nyama za paja. Yanga itaikaribisha Simba kwenye
April 18, 2024

Simba Kamiligado, Yaenda Kujifua Zanzibar

Klabu ya Wekundu Wa Msimbazi Simba Imeenda Visiwa Vya Karafuu Huko Zanzibar Kwaajili Ya Kujiandaa Na Mchezo Wa Dabi Dhidi Ya Watani Wao Wa Jadi Young Africans Utakaopigwa April 20/04/2024 Pale Uwanja Wa Benjamin Mkapa Pamoja na Mechi Nyingine Za Ligi Zilizo
April 16, 2024

Uingereza Yamfungia Kwa Muda Bondia Dullah Mbabe

Bodi ya kusimamia ngumi za kulipwa nchini Uingereza imemfungia bondia Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’ kuzichapa kwa muda nchini humo. Read More: Msanii Harmonize Na Bondia Mwakinyo Wajipanga Kuzichapa https://mediawireexpress.co.tz/msanii-harmonize-na-bondia-mwakinyo-wajipanga-kuzichapa/ Uamuzi wa bodi hiyo umekuja siku chache baada ya bondia huyo namba tatu nchini
April 14, 2024

Simba Wabanwa Mbavu Na Ihefu

Dakika 90 za Mchezo wa Ligi kuu Soka Tanzania Bara kati ya Klabu ya Simba Dhidi ya Ihefu zimetamatika Kwa Sare Ya goli Moja Kwa moja Na Timu zote Kugawana Alama, Ihefu Wakiwa Ndiyo Wenyeji Wa Mchezo Huko Liti Mkoani Singida walikuwa
April 13, 2024

Mashabiki Wa Simba Waujia Juu Uongozi

Mashabiki Wa Simba Wametoa Neno Juu Ya Matokeo Ya Timu Yao Baada Ya Kufurumushwa Kwenye Michuano Ya Ligi Ya Mabingwa Afrika Pamoja na CRDB Confederation Cup. Mashabiki Hao Waliopo Kawe Kanisani,Wamezungumza Na Media Wire Na Kueleza Ni Jinsi gani Mwenendo wa Matokeo
April 12, 2024

Eng. Hersi Ampa Heshima Dkt Malecela

Rais wa klabu ya Young Africans SC na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika, Eng. Hersi Said, Amefanya ziara ya kipekee kwa Dkt. John Samuel Malecela, Aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano
April 10, 2024
1 14 15 16 17 18 22