Dark
Light

Tanzania

Latest

Serikali Yadhamiria Kuboresha Huduma za Ukunga

May 5, 2024
Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuboresha huduma za Ukunga sambamba na kuongeza idadi yao ili kupunguza vifo vya watoto wa mchanga. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 5, 2024 kwenye siku ya Mkunga duniani ambapo mgeni

Kinana Awavaa Chadema,Muungano Watajwa

May 5, 2024
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana amesema Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) wamepata uhuru mkubwa wa kufanya maandamano nchi nzima lakini bado wamekituhumu chama cha mapinduzi na serikali kwa mambo ya uongo hayo yamejiri  leo, Jumapili Mei 05.2024 alipokuwa

Msonde Awataka Walimu Kutumia Nyezo Kuelewesha Wanafunzi

May 5, 2024
Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri masomo badala ya kuharakisha kumaliza mada (Topics). Dkt. Msonde amesema hayo wakati

TANROADS Mzigoni Kutatua Athari za Hidaya Kusini

May 5, 2024
 Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakandarasi wanaendelea na kazi ya kurejesha miundombinu ya Barabara ya Lindi – Dar- es Salaam ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zikiambatana na kimbunga Hidaya. Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi Mha. Emil Zengo ameyasema hayo

Director Khalfani Afariki Dunia

May 5, 2024
Aliyekuwa muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro‘ amefariki Dunia alfajir ya leo tarehe 5 May 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Taarifa zilieleza kuwa Khalfani alilazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taasisi ya

Mawaziri Wa EAC Waweka Maadhimio Sekta Ya Afya

May 4, 2024
Mawaziri wa Afya wa Mataifa Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana kwa mikakati na kusitisha ushirikiano zaidi katika kuboresha utoaji wa huduma za afya. lengo hili lilifikiwa katika Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Afya wa Jumuiya

Mtibwa Itashuka Na Ndoto Za Vijana Wapenda Mpira

May 4, 2024
Mtibwa Sugar ina historia kubwa kwenye soka la Tanzania ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa Ligi Kuu mara mbili katikati ya Simba na Yanga. Hakuna asiekumbuka vipaji vilivyowahi kupita na kulelewa na baadae kuitumikia timu hiyo na hata kwenda kwenye timu
1 559 560 561 562 563 696