Dark
Light

Tanzania - Page 277

Twelve Miners Die in DRC Copper Mine Collapse

Twelve miners tragically lost their lives after a copper mine collapsed in Tulizembe, located in the mineral-rich Katanga Province of the Democratic Republic of Congo. The incident occurred early Saturday morning, trapping workers deep inside the mine and prompting a rapid but
February 10, 2026

Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu Yashika Kasi

Leo hii, Tanzania inashuhudia kuanza rasmi kwa mitihani muhimu ya Kidato cha Sita (ACSEE) na Ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada. Hatua hii muhimu inaambatana na matarajio makubwa kutoka kwa wanafunzi, walimu, na wazazi kote nchini. Kulingana na taarifa iliyotolewa na Ofisi
May 6, 2024

Serikali Yadhamiria Kuboresha Huduma za Ukunga

Serikali kupitia Wizara ya afya imedhamiria kuendelea kuboresha huduma za Ukunga sambamba na kuongeza idadi yao ili kupunguza vifo vya watoto wa mchanga. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 5, 2024 kwenye siku ya Mkunga duniani ambapo mgeni
May 5, 2024

Msonde Awataka Walimu Kutumia Nyezo Kuelewesha Wanafunzi

Naibu Karibu Mkuu Wizara ya Tamisemi anaeyeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kutumia moja ya Kanuni za kuchunguza uwezo wa mwanafunzi na kutumia nyezo zitakazomwezesha mwanafunzi huyo kuelewa vizuri masomo badala ya kuharakisha kumaliza mada (Topics). Dkt. Msonde amesema hayo wakati
May 5, 2024

TANROADS Mzigoni Kutatua Athari za Hidaya Kusini

 Wakala ya Barabara (TANROADS) na Wakandarasi wanaendelea na kazi ya kurejesha miundombinu ya Barabara ya Lindi – Dar- es Salaam ambayo imeharibiwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha zikiambatana na kimbunga Hidaya. Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi Mha. Emil Zengo ameyasema hayo
May 5, 2024

Director Khalfani Afariki Dunia

Aliyekuwa muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro‘ amefariki Dunia alfajir ya leo tarehe 5 May 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Taarifa zilieleza kuwa Khalfani alilazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, taasisi ya
May 5, 2024

Mawaziri Wa EAC Waweka Maadhimio Sekta Ya Afya

Mawaziri wa Afya wa Mataifa Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamekubaliana kwa mikakati na kusitisha ushirikiano zaidi katika kuboresha utoaji wa huduma za afya. lengo hili lilifikiwa katika Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Afya wa Jumuiya
May 4, 2024

Mtibwa Itashuka Na Ndoto Za Vijana Wapenda Mpira

Mtibwa Sugar ina historia kubwa kwenye soka la Tanzania ikiwa ni pamoja na kushinda ubingwa wa Ligi Kuu mara mbili katikati ya Simba na Yanga. Hakuna asiekumbuka vipaji vilivyowahi kupita na kulelewa na baadae kuitumikia timu hiyo na hata kwenda kwenye timu
May 4, 2024
1 275 276 277 278 279 342