Dark
Light

Health - Page 73

Kenya Rolls Out Six-Month HIV Prevention Injection

Kenya has taken a significant step in the fight against HIV by introducing a new long-acting prevention injection that provides protection for up to six months with a single dose. Health officials say the rollout positions the country among the first in
February 28, 2026

Mchango Madaktari Bingwa Katika Kutoa Matibabu Bora

Madaktari bingwa wamekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya afya ulimwenguni kote. Kupitia jitihada zao za kujitolea na ujuzi wao, madaktari hawa wameleta nuru katika maisha ya mamilioni ya watu kwa kutoa matibabu bora na kusaidia kupunguza mateso
June 13, 2024

Deni la Serikali Linafikia Trilioni 91.7

Leo, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekutana jijini Dodoma kwa ajili ya kusoma Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25. Kikao hicho kinafanyika wakati ambapo ripoti ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, imeonyesha ongezeko kubwa
June 13, 2024

 Onyo Kali Dhidi Ya Matumizi Holela ya Dawa

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu, ametoa wito kwa Watanzania kuepuka matumizi holela ya dawa na kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ili kukabiliana na changamoto ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA). Waziri Ummy alitoa tahadhari hiyo Juni
June 13, 2024

Youth Urged for Regular Cancer Screenings

Young people are being urged to undertake regular health screenings to take preventive measures against breast and cervical cancer. Ms. Zauja Mohamed, Founder and CEO of Nuru Yetu Foundation in Dar es Salaam, emphasized the importance of these check-ups in detecting early
June 12, 2024

Mpango wa Afya Ngazi ya Jamii Pwani

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan imezindua rasmi utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, ambao una lengo la kuboresha huduma za afya katika ngazi ya msingi. Mpango
June 11, 2024

Miti Milioni 266 Yapandwa Tanzania Bara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo, ametangaza kuwa miti milioni 266 imepandwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara hadi kufikia Machi 2024. Akiwa bungeni jijini Dodoma leo, Juni 10, 2024, Dkt.
June 10, 2024

Gov’t Aims For Middle-Income Status By 2050

In a recent intervie televised on the state-own media, the Minister of Planning and Investment, Professor Kitila Mkumbo, shared remarkable progress in Tanzania’s fight against poverty. With 25 years of the National Development Vision (2000-2025), the country has successfully reduced its poverty
June 10, 2024

Tanzania Yashinda Tuzo ya Global Impact 2024

Tanzania imepata heshima kubwa kwa kutunukiwa tuzo ya Global Impact Award 2024 kutokana na jitihada zake kubwa na zenye matokeo chanya katika mapambano dhidi ya saratani. Tuzo hiyo imetolewa na Shirika la Global Health Catalyst la Marekani na kupokelewa na Naibu Waziri
June 10, 2024

Tanzania Set To Exit Group Of Poorest Nations In The World

The implementation of the 2025 Vision has yielded significant successes, notably elevating the nation into the category of low-middle income countries in 2020. Moreover, in a significant development this year, 2024, the United Nations has initiated the process of removing Tanzania from
June 8, 2024
1 71 72 73 74 75 88