Dark
Light

Health - Page 64

Dodoma Residents Urged to Give Blood Frequently

Residents of Dodoma have been encouraged to donate blood regularly to help save lives, particularly for patients who may require urgent transfusions. Dr. Leah Kitundya, head of the Central Zone Blood Collection Team, made the call during a free health screening event
November 14, 2025

Mama Mwinyi Atoa Taulo za Hedhi Pemba

Mke wa Rais wa Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi, ametoa wito kwa taasisi zote za umma na binafsi pamoja na jamii kwa ujumla kushirikiana katika kumkomboa msichana wa Zanzibar. Mama Mwinyi, ambaye pia ni Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi
June 18, 2024

Kifo Cha Mtoto Mwenye Ualbino Chazua Taharuki

Katika kikao cha Bunge, Mbunge wa Viti Maalumu anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu, Khadija Taya (Keisha), alitoa ombi la dharura kwa Spika ili kujadili kifo cha kusikitisha cha mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath. Novath alitekwa nyara na watu wasiojulikana na kupatikana
June 18, 2024

WHO and UAR Announce Support for Rabies Vaccines in 50 Countries

The World Health Organization (WHO) and the United Against Rabies (UAR) coalition have announced their support for integrating human rabies vaccines into routine immunization programs in 50 countries. This initiative aims to drastically reduce the annual death toll from rabies, which disproportionately
June 17, 2024

Tanzania’s Economic Growth Fails Poor Citizens

Despite Tanzania recording significant economic growth in recent years, widespread poverty persists, highlighting a disconnect between national prosperity and individual well-being. According to recent data, Tanzania’s GDP surged by over 5% in 2023, reaching Sh148.3 trillion. However, the benefits of this growth
June 14, 2024

Mchango Madaktari Bingwa Katika Kutoa Matibabu Bora

Madaktari bingwa wamekuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya katika sekta ya afya ulimwenguni kote. Kupitia jitihada zao za kujitolea na ujuzi wao, madaktari hawa wameleta nuru katika maisha ya mamilioni ya watu kwa kutoa matibabu bora na kusaidia kupunguza mateso
June 13, 2024

Deni la Serikali Linafikia Trilioni 91.7

Leo, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekutana jijini Dodoma kwa ajili ya kusoma Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25. Kikao hicho kinafanyika wakati ambapo ripoti ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, imeonyesha ongezeko kubwa
June 13, 2024

 Onyo Kali Dhidi Ya Matumizi Holela ya Dawa

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu, ametoa wito kwa Watanzania kuepuka matumizi holela ya dawa na kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ili kukabiliana na changamoto ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA). Waziri Ummy alitoa tahadhari hiyo Juni
June 13, 2024

Youth Urged for Regular Cancer Screenings

Young people are being urged to undertake regular health screenings to take preventive measures against breast and cervical cancer. Ms. Zauja Mohamed, Founder and CEO of Nuru Yetu Foundation in Dar es Salaam, emphasized the importance of these check-ups in detecting early
June 12, 2024
1 62 63 64 65 66 79