Dark
Light

Education - Page 13

Wizara Ya Elimu Kuhimiza Maboresho ya Mitaala

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametoa wito kwa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kushirikiana na vyuo vya elimu ya juu katika mchakato wa kuboresha mitaala ili iendane na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014
June 8, 2024

Kagera Teachers Get Empowerment Boost

The Deputy Secretary-General of the Office of the President (Tamisemi) responsible for education matters Dr. Charles Msonde, has urged teachers to embrace new teaching methods and foster integrity in their profession. Dr. Msonde made these remarks during separate meetings with education officials
June 1, 2024

NECTA Yaondoa Maswali ya Kuchagua Hisabati

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA), Dkt. Said Mohamed, ametangaza kuwa kuanzia mwaka huu hakutakuwa na maswali ya kuchagua katika mitihani ya Hisabati. Hatua hii inalenga kuboresha uelewa na umahiri wa wanafunzi katika somo hilo muhimu. Dkt. Mohamed alitoa taarifa hii
June 1, 2024

Wanafunzi 700 Kusomeshwa Bure Na Serikali

Serikali imesema wanafunzi 700 watakaofaulu vizuri masomo ya sayansi na wakihitaji kusoma vyuo vya hapa nchini, watasomeshwa bure. Aidha, wanafunzi watakaosoma masomo ya sayansi, uhandisi, Tehama, elimu tiba na hisabati hawatakuwa na gharama za kulipia, kwamba serikali itawagharamia kila kitu. Hayo yalisemwa
May 30, 2024
1 11 12 13 14 15 17