Dark
Light

Politics - Page 268

Rwanda Condemns U.S. Sanctions Over DRC Conflict

Rwanda has strongly condemned recent sanctions imposed by the United States on its military and senior officials, calling the move “one-sided” and unfair. The sanctions follow allegations that Rwanda provided support to the M23 rebel group in eastern Democratic Republic of Congo
March 4, 2026

Ruto Praises Youth, Promises New Kenya

President William Ruto has stated that the efforts of the youth in fighting for their country have been noticed and are encouraging. Therefore, he is engaging them to discuss their concerns and build a new Kenya. He said this during a church
June 23, 2024

Wahasisi wa Maandaano Kariakoo Matatani

Jeshi la Polisi Nchini limesema kuwa tangu Juni 22, 2024 kupitia baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kulionekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kilichosomeka “KUFUNGA BIASHARA ZETU”. Akitoa taarifa hiyo leo jijini Arusha Msemaji wa Jeshi la
June 23, 2024

Msako wa Dada Poa Bado Upo Palepale – Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameendelea kutoa msimamo na kusisitiza suala la oparesheni ya kuwakamata Madada Poa lililoanzishwa na DC wa Ubungo, Hassan Bomboko ni zoezi endelevu na kusema litaendelea kufanywa na Wakuu wote wa Wilaya za Dar
June 23, 2024

Muhula wa Rais Mwinyi Kuongezwa hadi Miaka Saba

Sekretarieti ya Kamati Maalum ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar imependekeza kuongeza muda wa muhula wa Rais Hussein Mwinyi kutoka miaka mitano hadi saba. Pendekezo hili, likipitishwa na Kamati Maalum, linaashiria mabadiliko makubwa katika taswira ya kisiasa ya Zanzibar, likichochewa na utendaji
June 23, 2024

CHADEMA Wazindua Ziara ya Kihistoria Kanda ya Kaskazini

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, na Naibu wake, Tundu Lissu, wameanza ziara kubwa ya majuma matatu katika mikoa ya kaskazini mwa Tanzania. Wakisafiri kwa helikopta, ziara hii ni kampeni kubwa ya kisiasa iliyopewa jina “Operesheni GF,” inayoongozwa
June 22, 2024

Ushirikiano Wilaya Malinyi ni Mbaya Sana – RC Malima

Watendaji wa Halmashauri Mkoani Morogoro wametakiwa kuwa mahiri katika kuzuia hoja za Ukaguzi kutojitokeza katika Halmashauri zao badala ya kuwa mahiri katika kujibu hoja hizo wakati zimejitokeza na hivyo kuiletea doa Halmashauri wanazofanyia kazi. Ushauri huo umetolewa Juni 21, 2024 na Mkaguzi
June 22, 2024
1 266 267 268 269 270 317