Breaking News
Breaking News
Dark
Light

editor

Makonda Vows Accountability Amid Criticism

The Regional Commissioner of Arusha, Paul Makonda, has stated that he will not cease holding accountable those who fail to fulfill their duties, especially the officials of Arusha region who are not performing their tasks properly, despite criticism on how he handles
May 27, 2024

Kariakoo Market Set to Reopen in August

The construction and refurbishment of Kariakoo market is at 93% completion and is set to open in August this year. The main two-storey Kariakoo market was destroyed by fire in July 2021. The extension, known as the coconut market, has been rebuilt
May 27, 2024

Kuimarisha Afya Kupitia Mtindo Bora Wa Maisha

Katika hatua ya kukabiliana na magonjwa Yasiyoambukiza, Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza mikakati mbalimbali ikiwemo kampeni ya kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuzingatia mtindo bora wa maisha. Akizungumza hivi karibuni wakati wa matembezi yaliyoandaliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) yanayojulikana kama
May 27, 2024

Burkina Faso Yaongeza Muda Wa Utawala Wa Kijeshi

Serikali ya mpito ya Burkina Faso imeongezwa muda kwa miaka mitano kufuatia kupitishwa kwa katiba iliyofanyiwa marekebisho katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano. Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Kapteni Ibrahim Traoré alitia saini mkataba huo uliorekebishwa mjini Ouagadougou siku ya Jumamosi, na
May 26, 2024

Frateri Aliyejinyonga Azikwa Kimya Kimya

Ni siku chache zimepita baada ya  kuenea kwa taarifa ya kujinyonga kwa Frateri Rogassuan Massawe aliyedaiwa kujinyonga baada ya kufeli mtihani wa kumvusha daraja moja kwenda jingine katika masomo ya u padre , mwili wake umeweza kupumzishwa huku mamia ya watu wakijitokeza
May 26, 2024

Dereva Shabiby Atuhumiwa Kusababisha Ajali majeruhi 22

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva wa basi la kampuni ya Shabiby, Sadick Marugul, akituhumiwa kusababisha ajali iliyojeruhi watu 22 mapema leo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP. Alex Mkama, amesema ajali hiyo imetokea katika eneo la Kihonda kwa
May 25, 2024
1 64 65 66 67 68 117