Breaking News
Breaking News
Dark
Light

editor

Mbappe “Ndoto Yangu Imetimia”

Mshambulizi wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe anasema ni “ndoto yangu kutimia” huku uhamisho wake wa kuelekea Real Madrid ukithibitishwa Jumatatu jioni. Mbappe, 25, atahamia Uwanja wa Bernabeu kwa mkataba wa miaka mitano mkataba wake wa Paris St-Germain utakapokamilika tarehe 30 Juni.
June 4, 2024

Mbappe Na Madrid Mambo BulBul

Uhamisho wa mchezaji wa timu ya PSG ya Nchini Ufaransa Kuelekea Real Madrid ya nchini uhispania limekamilika na muda wowote kuanzia sasa mchezaji huyo nyota wa kutoka nchini ufaransa atatangazwa kama mchezaji mpya wa miamba hiyo kutoka uhispania. Tetesi zinaeleza yakuwa mchezaji
June 3, 2024

Ramaphosa Calls For Consensus After Election Deadlock.

President Cyril Ramaphosa urged South Africa’s political parties to bridge their gaps and establish a “common ground” to establish the country’s first national coalition government in its young democracy. His remarks followed the announcement of final election results, revealing that no party
June 3, 2024

Msinitegemee Staki pressure.

Bien-Aimé Baraza, mwanachama wa kundi maarufu la Sauti Sol, alitoa kauli ya kushangaza kuhusu muziki wa Kenya kwenda kimataifa. Akieleza mtazamo wake kupitia mahojiano  yake na mwana Habari  , Bien alisema, “Msinitegemee Staki pressure. ” Kauli hii inaonyesha kuchoshwa kwake na matarajio
June 3, 2024

Mwakinyo Awaomba Msamaha Mashabiki Zake

Sakata la pambano la Bondia Hassan Mwakinyo na Patrick Allotey kutoka Ghana limemalizika rasmi baada ya wawili hao kuzichapa usiku wa kuamkia leo. Mwakinyo ameshinda pambano hilo lilofanyika Dar es salaam kwa TKO baada ya Allotey kushindwa kuendelea na pambano raundi ya
June 2, 2024
1 61 62 63 64 65 117