Dark
Light

editor

Kurejea kwa Ray C Kimuziki Paris

Mwanamuziki maarufu, Ray C, ameweka wazi safari yake ya kipekee ya kurejesha nguvu za muziki wake kupitia mazingira mapya ya Paris, Ufaransa. Katika kipindi cha kwanza cha “Kutoka Tanzania hadi Paris,” amefungua moyo wake na kuzungumzia changamoto ambazo amekabiliana nazo kwenye njia
June 6, 2024

Asilimia 20 ya samaki Ziwa Victoria wana plastiki

Wakati ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Mazingira Duniani imeelezwa kuwa asilimia 20 ya samaki Ziwa Victoria wana chembechembe za plastiki kutokana na ongezeko la uchafuzi wa taka hizo ndani ya Ziwa hilo linalohudumia watu zaidi ya milioni 40. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji
June 6, 2024

Sergey Lavrov Awarded Highest Honors In Burkina Faso

 Russian Foreign Minister Sergey Lavrov has been  awarded the Ordre de l’Etalon, Burkina Faso’s highest state decoration, by President Ibrahim Traoré, at a ceremony held  in the capital city of Ouagadougou. The award recognizes Lavrov’s efforts to strengthen the strategic partnership between
June 5, 2024

EWURA Announces Reduction in Fuel Prices

The Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA) has announced a notable reduction in the cap prices of petroleum products in Tanzania, effective from today, Wednesday, June 5, 2024, at 6:01 AM. For the month of June 2024, retail fuel prices in
June 5, 2024

Saida BOJ Aibua Mjadala Mkali Nigeria

Saida BOJ, mshawishi maarufu wa mitandao ya kijamii nchini Nigeria, amezua gumzo kubwa kufuatia kauli yake tata kuhusu wanawake kuwajaribu wanaume kiuchumi. Katika video aliyochapisha hivi karibuni, Saida aliwashauri wanawake kuwapeleka wanaume katika majaribio ya kifedha kwa kuwatumia bili ndani ya saa
June 5, 2024

SPIEF Kicks-Off With Focus On Multipolar World

The 27th St. Petersburg International Economic Forum (SPIEF) has kicked off with a focus on “The Formation of New Areas of Growth as the Cornerstone of a Multipolar World.” SPIEF has evolved into a prominent global platform where the business community convenes
June 5, 2024

Dunia Inakumbwa na Athari Kali za Matumizi ya Vileo

Dunia inakumbwa na Athari Kali za Matumizi ya Vileo ambayo yanasababisha vifo kwa watu wengi duniani kila mwaka licha ya faida ya kiuchumi kwa mataifa mbalimbali kupitia kodi ya bidhaa hizo. Matumizi ya vileo husababisha matatizo makubwa ya afya na kijamii kwa
June 5, 2024
1 131 132 133 134 135 234