Dark
Light

editor

Gov’t To Interview 158,902 Refugees Next Year

The Government’s has announced the commencement of a special program next year to interview 158,902 refugees residing in various camps in the country, including Nduta, Nyarugusu, and those sheltered in Ulyankulu, Katumba, and Mishamo settlements as well as villages in the Kigoma
June 10, 2024

Tanzania Yashinda Tuzo ya Global Impact 2024

Tanzania imepata heshima kubwa kwa kutunukiwa tuzo ya Global Impact Award 2024 kutokana na jitihada zake kubwa na zenye matokeo chanya katika mapambano dhidi ya saratani. Tuzo hiyo imetolewa na Shirika la Global Health Catalyst la Marekani na kupokelewa na Naibu Waziri
June 10, 2024

Netanyahu to Address US Congress on 24 July

 Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu is set to address both chambers of the US Congress, the Senate and the House of Representatives, congressional leaders announced on Thursday. The speech comes as the Israel-Gaza war rages on. Bipartisan invitations were extended to Netanyahu,
June 9, 2024

Mmoja afariki, watatu wajeruhiwa ajali ya gari Njombe

Dereva wa gari la mizigo Adriano Samweli (40) mwenyeji wa Kigoma, amefariki dunia katika ajali iliyotokea Kijiji cha Igumbilo, Kata ya Lupila wilayani Makete mkoani Njombe baada ya kushindwa kulimudu gari hilo na kisha kutumbukia korongoni. Ajali hiyo imetokea usiku kuamkia jana
June 9, 2024

Wananchi Watakiwa Kuweka Akiba Sehemu Salama

Serikali imewataka wananchi kuweka akiba ya fedha zao kwa kuwa akiba ni sehemu mojawapo ya mapato ambayo mwananchi, mfanyabiashara au mjasiriamali anaweza kuhifadhi sehemu salama kwa ajili ya kutimiza malengo aliyojiwekea. Akitoa Elimu kwa Wananchi wa Kijiji cha Muze Wilaya ya Sumbawanga
June 9, 2024

Mkurugenzi wa RSF Afariki Dunia

Christophe Deloire, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Wanahabari wasio na mipaka (RSF), amefariki jana akiwa na umri wa miaka 53. Deloire amefariki kutokana na saratani mbaya, RSF ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotumwa kwa AFP ambapo alikuwa ameshikilia wadhifa wake
June 9, 2024

Diddy Apewa Shahada Ya Heshima

Bodi ya Chuo Kikuu cha Howard, kihistoria kinachotambuliwa kuwa chuo kikuu cha watu weusi huko Washington DC, imeazimia kumvua Sean “Diddy” Combs shahada yake ya heshima. Tangazo hilo linakuja baada ya CNN kuchapisha video ya CCTV ya mtayarishaji huyo wa muziki wa
June 8, 2024

Malisa Aachiwa Huru, Akimbizwa Hospitali

Ripoti ya Kukamatwa na Kuachiliwa kwa Dhamana kwa Mchambuzi wa Masuala ya Kijamii na Kisiasa, Godlisten Malisa Tarehhe 06 June Mchambuzi maarufu wa Masuala ya Kijamii na Kisiasa, Godlisten Malisa, alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kuhusu tuhuma kadhaa zinazohusiana na
June 8, 2024
1 129 130 131 132 133 236