Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Polisi Afrika Mashariki Waungana Waadhimisha Mauaji Ya Kimbari

Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki Wameungana na Polisi wenzao kutoka Nchini Rwanda kuuwakumbuka Wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbari Nchini Rwanda.
April 14, 2024
by

Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Afrika Mashariki Wameungana na Polisi wenzao kutoka Nchini Rwanda kuuwakumbuka Wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbari Nchini Rwanda.

Akiongea leo Aprili 14,2024 katika Shule ya Polisi Tanzania Mkoani Kilimanjaro Mkurungenzi Mkuu wa Shirikisho la Wakuu wa Polisi Ukanda wa Mashariki mwa Afrika Apollo Afrika amesema wamekuwa wamekuwa wakifanya maadhimisho ya kumbukumbu wananchi waliopoteza maisha katika mauaji ya kimbali yaliyotokea miaka 30 iliyopita nchini Rwanda.

Read More: Polisi Nchi 14 Kufanya Mazoezi Pamoja Tanzania

https://mediawireexpress.co.tz/polisi-nchi-14-kufanya-mazoezi-pamoja-tanzania/

Mkurungenzi Huyo mbali na kubainisha hilo amesema wanatumia kumbukumbu hiyo kama funzo Kwa wananchi wengine kutojiingiza katika machafuko ambapo alibainisha kuwa kipindi cha maauji hayo nchini Rwanda yalikuwa yakitisha ambayo alisema yalichafua taswira ya Nchi hiyo.

Kwa upande wake Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP David Misime pamoja na kushiriki kumbukumbu hiyo amewataka waandishi wa habari kuzingatia Maadili katika kuwahabarisha wanaanchi ili kuepusha taharuki na Migogoro ambayo inaweza kuhatarisha usalama katika Maeneo ya ukanda huo.

Read More: Polisi Kuimarisha Ulinzi Kuelekea Sherehe Z a Pasaka

https://mediawireexpress.co.tz/polisi-kuimarisha-ulinzi-kuelekea-sherehe-z-a-pasaka/

Nao baadhi askari walioshiriki wa kumbukumbu hiyo iliyofanyika shule ya Polisi Tanzania TPS Moshi Kilimanjaro wamebainisha kuwa wametumia siku hiyo kuwa kumbuka na kuwaombea wananchi waliofariki katika mauaji ya kimbali Nchini Rwanda.

Author

14 Comments

  1. I do enjoy the manner in which you have framed this particular issue and it really does present us a lot of fodder for consideration. However, from everything that I have personally seen, I only trust as other commentary pack on that people keep on point and not get started on a tirade of some other news of the day. Anyway, thank you for this exceptional piece and while I do not really concur with it in totality, I value the standpoint.

  2. Admiring the time and energy you put into your site and in depth information you provide. It’s great to come across a blog every once in a while that isn’t the same unwanted rehashed material. Great read! I’ve saved your site and I’m adding your RSS feeds to my Google account.

  3. Thanks for some other fantastic post. The place else could anybody get that type of info in such an ideal approach of writing? I have a presentation subsequent week, and I am at the look for such info.

  4. You could certainly see your skills in the work you write. The world hopes for even more passionate writers such as you who aren’t afraid to say how they believe. All the time follow your heart. “We are near waking when we dream we are dreaming.” by Friedrich von Hardenberg Novalis.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Bashungwa Bans Ferry Overloading for Passenger Safety  

The Minister of Works, Innocent Bashungwa, has directed the Technical

Floods derail AU mission exit plan in Somalia

Rotation of the African Union force in Somalia was delayed