Dark
Light

Tanzania

Latest

Mmoja afariki, watatu wajeruhiwa ajali ya gari Njombe

June 9, 2024
Dereva wa gari la mizigo Adriano Samweli (40) mwenyeji wa Kigoma, amefariki dunia katika ajali iliyotokea Kijiji cha Igumbilo, Kata ya Lupila wilayani Makete mkoani Njombe baada ya kushindwa kulimudu gari hilo na kisha kutumbukia korongoni. Ajali hiyo imetokea usiku kuamkia jana

Wananchi Watakiwa Kuweka Akiba Sehemu Salama

June 9, 2024
Serikali imewataka wananchi kuweka akiba ya fedha zao kwa kuwa akiba ni sehemu mojawapo ya mapato ambayo mwananchi, mfanyabiashara au mjasiriamali anaweza kuhifadhi sehemu salama kwa ajili ya kutimiza malengo aliyojiwekea. Akitoa Elimu kwa Wananchi wa Kijiji cha Muze Wilaya ya Sumbawanga

Mkurugenzi wa RSF Afariki Dunia

June 9, 2024
Christophe Deloire, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Wanahabari wasio na mipaka (RSF), amefariki jana akiwa na umri wa miaka 53. Deloire amefariki kutokana na saratani mbaya, RSF ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotumwa kwa AFP ambapo alikuwa ameshikilia wadhifa wake

Diddy Apewa Shahada Ya Heshima

June 8, 2024
Bodi ya Chuo Kikuu cha Howard, kihistoria kinachotambuliwa kuwa chuo kikuu cha watu weusi huko Washington DC, imeazimia kumvua Sean “Diddy” Combs shahada yake ya heshima. Tangazo hilo linakuja baada ya CNN kuchapisha video ya CCTV ya mtayarishaji huyo wa muziki wa

Malisa Aachiwa Huru, Akimbizwa Hospitali

June 8, 2024
Ripoti ya Kukamatwa na Kuachiliwa kwa Dhamana kwa Mchambuzi wa Masuala ya Kijamii na Kisiasa, Godlisten Malisa Tarehhe 06 June Mchambuzi maarufu wa Masuala ya Kijamii na Kisiasa, Godlisten Malisa, alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kuhusu tuhuma kadhaa zinazohusiana na

Tanzania Set To Exit Group Of Poorest Nations In The World

June 8, 2024
The implementation of the 2025 Vision has yielded significant successes, notably elevating the nation into the category of low-middle income countries in 2020. Moreover, in a significant development this year, 2024, the United Nations has initiated the process of removing Tanzania from

Danish PM attacked by man in Copenhagen

June 8, 2024
Denmark PM Mette Frederiksen is said to have been left “shocked” after being struck by a man while walking in the centre of Copenhagen. The assault took place in a square in the city’s old town when a man walked up to
1 539 540 541 542 543 712