Dark
Light

Tanzania - Page 284

UDOM Lecturer Faces Terrorism Charge

A legal case involving a University of Dodoma lecturer has entered a new and more serious phase after prosecutors formally charged Melkisedek Kaijage with a terrorism-related offence, transforming what initially appeared as a dispute over alleged public protest activities into a case
July 24, 2026

Serikali Kuwezesha Sekta ya Michezo Zaidi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza mipango kabambe ya Serikali ya awamu ya sita kuhakikisha sekta ya michezo inaendelea kuwezeshwa na kupewa kipaumbele nchini. Katika hafla ya tuzo za michezo iliyofanyika kwenye ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Waziri Mkuu alieleza kwamba sekta
June 10, 2024

Bil.18.5 Kutumika Ujenzi wa Mifereji ya Maji Tabora

Naibu waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Zainab Katimba amesema serikali inahitaji kiasi cha shilingi bilioni 18.47 kwa ajili ya ujenzi wa mifereji ya kupokea maji ya mvua katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, Mkoani Tabora. Amesema
June 10, 2024

Enhancing Education Access New Report Launch

The Civil Society Organization, HakiElimu, has unveiled a comprehensive report addressing the availability of quality education for children residing in informal settlements in urban areas. The report aims to enhance education accessibility for this demographic in Tanzania. The research, conducted by HakiElimu
June 10, 2024

Miti Milioni 266 Yapandwa Tanzania Bara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo, ametangaza kuwa miti milioni 266 imepandwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania Bara hadi kufikia Machi 2024. Akiwa bungeni jijini Dodoma leo, Juni 10, 2024, Dkt.
June 10, 2024

Gov’t Aims For Middle-Income Status By 2050

In a recent intervie televised on the state-own media, the Minister of Planning and Investment, Professor Kitila Mkumbo, shared remarkable progress in Tanzania’s fight against poverty. With 25 years of the National Development Vision (2000-2025), the country has successfully reduced its poverty
June 10, 2024

Gov’t To Interview 158,902 Refugees Next Year

The Government’s has announced the commencement of a special program next year to interview 158,902 refugees residing in various camps in the country, including Nduta, Nyarugusu, and those sheltered in Ulyankulu, Katumba, and Mishamo settlements as well as villages in the Kigoma
June 10, 2024

Tanzania Yashinda Tuzo ya Global Impact 2024

Tanzania imepata heshima kubwa kwa kutunukiwa tuzo ya Global Impact Award 2024 kutokana na jitihada zake kubwa na zenye matokeo chanya katika mapambano dhidi ya saratani. Tuzo hiyo imetolewa na Shirika la Global Health Catalyst la Marekani na kupokelewa na Naibu Waziri
June 10, 2024

Wananchi Watakiwa Kuweka Akiba Sehemu Salama

Serikali imewataka wananchi kuweka akiba ya fedha zao kwa kuwa akiba ni sehemu mojawapo ya mapato ambayo mwananchi, mfanyabiashara au mjasiriamali anaweza kuhifadhi sehemu salama kwa ajili ya kutimiza malengo aliyojiwekea. Akitoa Elimu kwa Wananchi wa Kijiji cha Muze Wilaya ya Sumbawanga
June 9, 2024
1 282 283 284 285 286 369