Dark
Light

Tanzania - Page 283

Egyptian Irrigation Firm Eyes Tanzania Agricultural Market

Egyptian irrigation company El Nakheel Company for Modern Irrigation Systems has expressed its commitment to strengthening its presence in Tanzania by providing modern irrigation technologies and establishing strategic partnerships to support sustainable agricultural development. Speaking during the 10th Global Africa Agri Expo
September 3, 2026

Wahasisi wa Maandaano Kariakoo Matatani

Jeshi la Polisi Nchini limesema kuwa tangu Juni 22, 2024 kupitia baadhi ya vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii kulionekana tangazo linalosambazwa lenye kichwa cha habari kilichosomeka “KUFUNGA BIASHARA ZETU”. Akitoa taarifa hiyo leo jijini Arusha Msemaji wa Jeshi la
June 23, 2024

Watumishi wa Afya Longido Kupatiwa Nyumba

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel, ameziagiza Timu za Afya za mkoa na wilaya kutoa kipaumbele katika kuwapatia makazi watumishi wa sekta ya afya wa Wilaya ya Longido. Dkt. Mollel amezitaka timu za uendeshaji wa huduma za afya (CHMT) wilayani Longido
June 23, 2024

Msako wa Dada Poa Bado Upo Palepale – Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameendelea kutoa msimamo na kusisitiza suala la oparesheni ya kuwakamata Madada Poa lililoanzishwa na DC wa Ubungo, Hassan Bomboko ni zoezi endelevu na kusema litaendelea kufanywa na Wakuu wote wa Wilaya za Dar
June 23, 2024

Muhula wa Rais Mwinyi Kuongezwa hadi Miaka Saba

Sekretarieti ya Kamati Maalum ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar imependekeza kuongeza muda wa muhula wa Rais Hussein Mwinyi kutoka miaka mitano hadi saba. Pendekezo hili, likipitishwa na Kamati Maalum, linaashiria mabadiliko makubwa katika taswira ya kisiasa ya Zanzibar, likichochewa na utendaji
June 23, 2024

Njia Mpya za Mabasi Kigamboni-Katikati Ya Jiji

Kwa lengo la kuboresha usafiri wa mijini, safu mpya ya njia za mabasi imetambulishwa inayounganisha Kigamboni na maeneo ya katikati ya jiji. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) iliyotangaza jana kupitia akaunti yao rasmi ya Instagram, imezindua njia tatu mpya za
June 22, 2024

CHADEMA Wazindua Ziara ya Kihistoria Kanda ya Kaskazini

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, na Naibu wake, Tundu Lissu, wameanza ziara kubwa ya majuma matatu katika mikoa ya kaskazini mwa Tanzania. Wakisafiri kwa helikopta, ziara hii ni kampeni kubwa ya kisiasa iliyopewa jina “Operesheni GF,” inayoongozwa
June 22, 2024

100 Patients Regain Sight in Chunya

Over 100 patients have regained their vision following successful cataract surgeries during a seven-day specialist eye surgery camp at the Chunya District Referral Hospital in Mbeya. This initiative, held from June 14-21, 2024, was supported by the government through the Ministry of
June 22, 2024
1 281 282 283 284 285 377