Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Tanzania - Page 207

Court Weighs Video Evidence in Lissu Treason Trial

Tanzania’s High Court is set to make a critical decision in the treason case against opposition leader Tundu Lissu, focusing on whether a video of his speech, allegedly inciting rebellion and disruption, can be admitted as evidence. The case has captured nationwide
October 21, 2025

Mwenyekiti: Wafanyabiashara Kariakoo Wafungue Maduka

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Kariakoo, Bw. Martin Mbwana, ametoa wito kwa wafanyabiashara kufungua maduka yao huku wakisubiri suluhisho la mwisho kutoka kwa Serikali kuhusu madai yao. Kauli hii imekuja baada ya siku tatu za mgomo wa wafanyabiashara katika eneo hilo. Akizungumza
June 26, 2024

Waandishi Kuimarisha Ripoti za Bunge Kuepusha Taharuki

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametoa wito kwa waandishi wa habari kuwa na uelewa mzuri wa michakato ya Bunge ili kuripoti kwa usahihi na kuepusha kuzua taharuki kwa wananchi. Waziri Nnauye amesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari
June 26, 2024

Mpaka wa Tanzania, Zambia Kuboreshwa Kudhibiti Mazao

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) amesema katika kudhibiti utoroshwaji wa mazao na bidhaa nchini Serikali imeboresha mpaka kati ya Tanzania na Zambia ambapo Mamlaka ya Mapato (TRA) na Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA) ziliingia makubaliano (MoU) yenye lengo
June 25, 2024

Kamata Wote Wanaochezesha Wanafunzi Ngoma – DC Magoti

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amepiga marufuku Watu kuandaa shughuli za ngoma kama vile mdundiko, unyago na sherehe za muziki na kuruhusu Wanafunzi kujumuika na kuserebuka kwenye shughuli hizo ambapo amemuagiza Mkuu wa Polisi Wilaya vitendo hivyo vitabainika akamate kuanzia
June 25, 2024

Geita Yashinda Ubingwa wa UMISSETA Dhidi ya Tabora

Katika fainali ya kusisimua ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) iliyofanyika mjini Tabora, timu ya mpira wa miguu ya wavulana kutoka Geita imetwaa ubingwa kwa kuifunga timu ya Tabora magoli mawili kwa moja. Mashindano haya ambayo yalihusisha timu kutoka mikoa
June 25, 2024

Tanzania’s Health Vision: Stronger Future Assured

Ministry of Health Secretary Dr . John  Jingu at a seminar held in  Dodoma City. reaffirmed the critical role of his ministry in shaping Tanzania ‘healthcare landscape for the upcoming fiscal year 2024/25 The seminar, attended by senior ministry officials, focused on
June 25, 2024

Polisi Waomba Ushirikiano Kuwalinda Watu Wenye Ualbino

Katika juhudi za kuimarisha usalama na kulinda haki za binadamu, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Fabian Mhagale amewataka wananchi wa Kata ya Mvungwe, Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Mhagale alisisitiza umuhimu
June 25, 2024
1 205 206 207 208 209 303