Dark
Light

editor

Mbappe “Ndoto Yangu Imetimia”

Mshambulizi wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe anasema ni “ndoto yangu kutimia” huku uhamisho wake wa kuelekea Real Madrid ukithibitishwa Jumatatu jioni. Mbappe, 25, atahamia Uwanja wa Bernabeu kwa mkataba wa miaka mitano mkataba wake wa Paris St-Germain utakapokamilika tarehe 30 Juni.
June 4, 2024

The Heat Continues To Kill People In India

More than 50 people have died in India in the past three days as the country continues to grapple with a heatwave. Approximately 33 people died in the northern state of Uttar Pradesh over the weekend due to the heat. In the
June 3, 2024

Mbappe Na Madrid Mambo BulBul

Uhamisho wa mchezaji wa timu ya PSG ya Nchini Ufaransa Kuelekea Real Madrid ya nchini uhispania limekamilika na muda wowote kuanzia sasa mchezaji huyo nyota wa kutoka nchini ufaransa atatangazwa kama mchezaji mpya wa miamba hiyo kutoka uhispania. Tetesi zinaeleza yakuwa mchezaji
June 3, 2024

Ramaphosa Calls For Consensus After Election Deadlock.

President Cyril Ramaphosa urged South Africa’s political parties to bridge their gaps and establish a “common ground” to establish the country’s first national coalition government in its young democracy. His remarks followed the announcement of final election results, revealing that no party
June 3, 2024

Bodi Ya Maziwa Yapewa Maagizo Na Serikali

Serikali imeiagiza Bodi ya Maziwa Nchini kujadili kwa haraka na kutatua tatizo la vifungashio vya maziwa vinavyofanya bei ya maziwa kuwa juu na kufanya wananchi kushindwa kumudu bei hivyo kuongeza hali ya udumavu kwa watoto nchini. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri
June 3, 2024

Premier Graces Chato Landing Site Construction

Prime Minister Kassim Majaliwa has laid the foundation stone for a landing site and fish market construction in Chato district, Geita region. The projects aim to enhance the local economy, with a focus on involving fishermen and farmers in development plans. During
June 3, 2024

Wataalam Wapanga Mikakati Sekta ya Posta

Wataalam kutoka nchi wanachama wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU) wametakiwa kuandaa mikakati madhubuti ya kukabiliana na changamoto zinazokabili sekta ya posta. Wito huu umetolewa na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Dk. Mzee Suleiman Mndewa, wakati wa
June 3, 2024
1 134 135 136 137 138 234