Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Rais Samia Awakutanisha Wataarishaji na Waigizaji Filamu Korea & Tanzania

June 1, 2024
by

Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Watayarishaji wa Filamu wa Korea na Waandaaji na Waigizaji wa Filamu wa Tanzania Jijini Seoul, 01 Juni 2024 kujadli mambo mbali mbali yanayohusu Tasnia ya sanaa na kubadilishaja ujuzi kwa lengo la kujifunza.

haya yamejiri katika ziara Rasmi ya kikazi anayoifanya Rais Samia Suluhu Hassan Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea , Mama samia ameongozana na wawakilishi wa wasanii akiwemo Muigizaji Elizabeth Michael(Lulu}na Vyone Cherrie{Monalissa} huku kwa upande wa waandaji wa filamu akiwemo Leah Mwendamseke{Lamatha}

Soma Zaidi:Samia’s South Korea Trip To Yield Sh6.5 Trillion

Ikumbukwe siku chache zilizopita Rais alitangaza rasmi kuwachukua baadhi ya wasanii na waandaaji wa filamu nchini na kuambatana nao katika ziara yake Nchini korea kwa lengo la kujifunza mambo mengi ikiwemo ubora wa uaandaaji wa filamu na sanaa nzima kwa ujumla ikiwemo kujadili namna nchi hizi mbili zitasaidiana katika Tasnia ya sanaaa.

Soko la sanaa ya filamu “Bongo Movie” imeendelea kushika hatamu ndani na nje ya mipaka ya Afrika huku baadhi ya tamthilia zikijanyakulia tuzo ndani na nje ya Nchi

 

Author

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Don't Miss

Ruto Praises Youth, Promises New Kenya

President William Ruto has stated that the efforts of the

Tanzania opposition holds protest to demand constitutional reform

Tanzania’s political opposition held its first major protest in years