Dark
Light

Tanzania

Latest

Waziri Mkuu Akagua Athari Za Maafa Rufiji

April 17, 2024
Wazri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi waliokumbwa na adha ya mafuriko nchini waendelee kuwa watulivu wakati Serikali ikiendelea kuratibu utoaji wa misaada kwenye maeneo yaliyoathirika. “Barabara ya Mkongo hadi Utete na ile ya kutoka Mloka Mkongo zote zimeathirika. Tunafanya kazi ya kurejesha

Dubai Airport Flooded-17 Flights Cancelled, 3 Diverted

April 16, 2024
Flight operations at Dubai International Airport (DXB) were disrupted by a powerful downpour , forcing over 17 flights to be cancelled and flights diverted due to  inclement weather on Tuesday . Watch: Airports authorities confirmed that the heavy rains lashed the United

Afrika Yajipanga Kunufaika Na G20

April 16, 2024
Tanzania imeishauri Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), kutumia kikamilifu fursa ya kiti cha uwakilishi wa Umoja wa Afrika katika Kundi la nchi Ishirini Tajiri Duniani (G20), kutetea maslahi ya nchi za Afrika ili ziweke kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazokwaza maendeleo ya

TCAA Yapata Sifa Usimamizi Sekta Ya Anga

April 16, 2024
Kamati ya Mawasiliano Ardhi Na Nishati Ya Baraza La Wawakilishi Zanzibar imesifu Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania kwa jitihada inayofanya katika usimamizi wa sekta ya usafiri wa anga Tanzania bara na Zanzibar na kupelekea kuimarika usalama  wa usafiri wa  anga nchini.

Trump Has An Unusual Request On Trial Day 1

April 16, 2024
The first ever criminal trial of a former US president got underway in state court in Manhattan on Monday with the difficult task of finding an impartial jury to sit for a trial that could last months. Despite the high stakes of prosecuting the

Simba Kamiligado, Yaenda Kujifua Zanzibar

April 16, 2024
Klabu ya Wekundu Wa Msimbazi Simba Imeenda Visiwa Vya Karafuu Huko Zanzibar Kwaajili Ya Kujiandaa Na Mchezo Wa Dabi Dhidi Ya Watani Wao Wa Jadi Young Africans Utakaopigwa April 20/04/2024 Pale Uwanja Wa Benjamin Mkapa Pamoja na Mechi Nyingine Za Ligi Zilizo

TAMISEMI Yaomba Bunge Kuidhinisha Shilingi Tril.10.125

April 16, 2024
Ofisi ya Rais – TAMISEMI,  imeomba Bunge kuidhinisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2024/25 yenye jumla ya shilingi trilioni 10.125 kwa taasisi zilizo chini yake, mikoa 26 ikijumuisha halmashauri 184. Kwa mwaka 2023/24, Ofisi ya Rais-TAMISEMI iliidhinishiwa bajeti ya trilioni
1 656 657 658 659 660 776