Dark
Light

Tanzania

Latest

Kamata Wote Wanaochezesha Wanafunzi Ngoma – DC Magoti

June 25, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amepiga marufuku Watu kuandaa shughuli za ngoma kama vile mdundiko, unyago na sherehe za muziki na kuruhusu Wanafunzi kujumuika na kuserebuka kwenye shughuli hizo ambapo amemuagiza Mkuu wa Polisi Wilaya vitendo hivyo vitabainika akamate kuanzia

Geita Yashinda Ubingwa wa UMISSETA Dhidi ya Tabora

June 25, 2024
Katika fainali ya kusisimua ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) iliyofanyika mjini Tabora, timu ya mpira wa miguu ya wavulana kutoka Geita imetwaa ubingwa kwa kuifunga timu ya Tabora magoli mawili kwa moja. Mashindano haya ambayo yalihusisha timu kutoka mikoa

Assange Returns To Australia After Plea Deal

June 25, 2024
Julian Assange, the controversial founder of WikiLeaks, is returning to Australia after a prolonged 12-year legal struggle. This development comes as part of a plea agreement with U.S. authorities that marks a significant turn in a case that has drawn global attention

Tanzania’s Health Vision: Stronger Future Assured

June 25, 2024
Ministry of Health Secretary Dr . John  Jingu at a seminar held in  Dodoma City. reaffirmed the critical role of his ministry in shaping Tanzania ‘healthcare landscape for the upcoming fiscal year 2024/25 The seminar, attended by senior ministry officials, focused on

Putin Orders Business Expansion Into Africa

June 25, 2024
Russian President Vladimir Putin instructed the Cabinet of Ministers to work out measures that would help Russian entrepreneurs improve logistics and trade with African, Asian and South American countries.  The corresponding instruction was published on June 24 on the Kremlin website. “To

Polisi Waomba Ushirikiano Kuwalinda Watu Wenye Ualbino

June 25, 2024
Katika juhudi za kuimarisha usalama na kulinda haki za binadamu, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Fabian Mhagale amewataka wananchi wa Kata ya Mvungwe, Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Mhagale alisisitiza umuhimu

DC Pangani Aongoza Vita Dhidi Ukatili

June 25, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala, ameanza kampeni kali dhidi ya vitendo vya ubakaji na ulawiti, akisisitiza kuwa watu wanaojihusisha na makosa haya watachukuliwa hatua kali za kisheria. Kilakala ameagiza Jeshi la Polisi kumkamata mtu mmoja katika kijiji cha Bushiri, anayeshtumiwa

Mpina Afungiwa Vikao 15 Bungeni

June 25, 2024
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha adhabu ya kumsimamisha kuhudhuria vikao 15 mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, kwa kosa la kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kwa kulidanganya Bunge kuhusu suala la uagizaji wa sukari kutoka nje. Hatua hii ilifikia
1 504 505 506 507 508 697