Dark
Light

Tanzania - Page 267

Tanzanian Diaspora Urged To Drive Investment

The Ambassador of the United Republic of Tanzania to France, H.E. Saidi Othman Yakubu, has called upon Tanzanians living in France to continue serving as ambassadors of development by supporting the Government’s efforts to promote Tanzania’s tourist attractions and attract investment from
June 14, 2026

Polisi Waomba Ushirikiano Kuwalinda Watu Wenye Ualbino

Katika juhudi za kuimarisha usalama na kulinda haki za binadamu, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Fabian Mhagale amewataka wananchi wa Kata ya Mvungwe, Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Mhagale alisisitiza umuhimu
June 25, 2024

DC Pangani Aongoza Vita Dhidi Ukatili

Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala, ameanza kampeni kali dhidi ya vitendo vya ubakaji na ulawiti, akisisitiza kuwa watu wanaojihusisha na makosa haya watachukuliwa hatua kali za kisheria. Kilakala ameagiza Jeshi la Polisi kumkamata mtu mmoja katika kijiji cha Bushiri, anayeshtumiwa
June 25, 2024

Mpina Afungiwa Vikao 15 Bungeni

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha adhabu ya kumsimamisha kuhudhuria vikao 15 mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, kwa kosa la kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kwa kulidanganya Bunge kuhusu suala la uagizaji wa sukari kutoka nje. Hatua hii ilifikia
June 25, 2024

JWTZ Yapokea Heshima Baada ya Zoezi

Kikundi cha maafisa na askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), pamoja na vyombo vya usalama na taasisi za Serikali, kimerejea nchini baada ya kushiriki kikamilifu katika zoezi la 13 la Medani la nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika
June 24, 2024

Serikali Yatoa Wito kuhusu Lishe kwa Mama Wajawazito

Serikali imezitaka taasisi za lishe kushirikiana na sekta ya afya katika kutoa elimu kuhusu lishe kwa mama wajawazito, hatua ambayo inalenga kupunguza vifo vya mama na mtoto nchini. Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, alitoa wito huo leo bungeni Dodoma alipokuwa
June 24, 2024

Dar Commissioner Mediates Kariakoo Market Tensions

The Regional Commissioner of Dar es Albert Chalamila intervened in the ongoing standoff at Kariakoo Market, where traders have shuttered their shops in protest against alleged mistreatment by the Tanzania Revenue Authority (TRA). Since Saturday, June 22, 2024, flyers circulating on social
June 24, 2024

Tanzania Surpasses Maternal and Child Mortality Goals

The Tanzanian government has announced remarkable achievements in its efforts to reduce maternal and child mortality rates. Deputy Minister of Health, Dr. Godwin Mollel, informed Parliament in Dodoma that the mortality rate has decreased from 556 per 100,000 live births in 2016
June 24, 2024

Tanzania Makes Strides in National ID Distribution

The government has made substantial progress in the production and distribution of national identity cards (IDs). As of May 2024, the National Identification Authority (NIDA) had issued 21,322,098 IDs, covering 86% of the 24,818,138 registered citizens. This advancement is part of a
June 24, 2024
1 265 266 267 268 269 362