Breaking News
Breaking News
Dark
Light

Tanzania - Page 249

Simba Wabanwa Mbavu Na Ihefu

Dakika 90 za Mchezo wa Ligi kuu Soka Tanzania Bara kati ya Klabu ya Simba Dhidi ya Ihefu zimetamatika Kwa Sare Ya goli Moja Kwa moja Na Timu zote Kugawana Alama, Ihefu Wakiwa Ndiyo Wenyeji Wa Mchezo Huko Liti Mkoani Singida walikuwa
April 13, 2024

Ukarabati Mto Msimbanzi Serikali Yatekeleza Awamu Ya Kwanza

Serikali ya Tanzania imechukua hatua madhubuti kwa kuanza ukarabati wa awamu ya kwanza wa Mto Msimbanzi leo, tarehe 13 Aprili 2024. Hatua hii imechukuliwa ili kukabiliana na uharibifu unaosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha Jijini Dar Es Salaam. Kwa lengo la kuepusha
April 13, 2024

Teuzi Rais Samia Amteua Kasore Na Shirima

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amechukua hatua muhimu katika kuimarisha uongozi na utendaji kwa kufanya uteuzi wa viongozi katika maeneo ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi, pamoja na sekta ya nishati. Katika uteuzi huo wenye
April 13, 2024

Waziri Ummy Aongoza Wananchi Matembezi Ya Afya

Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu, ameongoza mamia ya wananchi leo, Aprili 13, 2024, katika matembezi ya hisani ambayo yamefanyika kwa pamoja na zoezi la upimaji afya, likijumuisha vipimo vya shinikizo la juu la damu (presha) na sukari. Matembezi hayo yalikuwa sehemu
April 13, 2024

CCM Moto Umewaka, Makalla Aapa Kukitetea CHama.

Mhe, Amos Makalla, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ametoa taarifa muhimu baada ya kuwasili Jijini Dodoma kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kwenye nafasi hiyo. Akizungumza na wananchi Makalla ameeleza kuwa yuko tayari kushiriki katika mdahalo
April 13, 2024

RC Makonda Adai Mawaziri Wanawalipa Watu Kumtukana Rais

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka watu wanaotumia fedha kuwatuma watu kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan mtandaoni kuacha mara moja na endapo wataendelea, Jumatatu ya Aprili 15,2024 atawajata. Makonda amesema, “Wapo watu wanaotumia fedha kuwaagiza watu kumtukana Rais Samia, naomba
April 12, 2024

Mashabiki Wa Simba Waujia Juu Uongozi

Mashabiki Wa Simba Wametoa Neno Juu Ya Matokeo Ya Timu Yao Baada Ya Kufurumushwa Kwenye Michuano Ya Ligi Ya Mabingwa Afrika Pamoja na CRDB Confederation Cup. Mashabiki Hao Waliopo Kawe Kanisani,Wamezungumza Na Media Wire Na Kueleza Ni Jinsi gani Mwenendo wa Matokeo
April 12, 2024
1 247 248 249 250 251 302