Dark
Light

Tanzania - Page 246

Twelve Miners Die in DRC Copper Mine Collapse

Twelve miners tragically lost their lives after a copper mine collapsed in Tulizembe, located in the mineral-rich Katanga Province of the Democratic Republic of Congo. The incident occurred early Saturday morning, trapping workers deep inside the mine and prompting a rapid but
February 10, 2026

Waandishi Kuimarisha Ripoti za Bunge Kuepusha Taharuki

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametoa wito kwa waandishi wa habari kuwa na uelewa mzuri wa michakato ya Bunge ili kuripoti kwa usahihi na kuepusha kuzua taharuki kwa wananchi. Waziri Nnauye amesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari
June 26, 2024

Mpaka wa Tanzania, Zambia Kuboreshwa Kudhibiti Mazao

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) amesema katika kudhibiti utoroshwaji wa mazao na bidhaa nchini Serikali imeboresha mpaka kati ya Tanzania na Zambia ambapo Mamlaka ya Mapato (TRA) na Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA) ziliingia makubaliano (MoU) yenye lengo
June 25, 2024

Kamata Wote Wanaochezesha Wanafunzi Ngoma – DC Magoti

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amepiga marufuku Watu kuandaa shughuli za ngoma kama vile mdundiko, unyago na sherehe za muziki na kuruhusu Wanafunzi kujumuika na kuserebuka kwenye shughuli hizo ambapo amemuagiza Mkuu wa Polisi Wilaya vitendo hivyo vitabainika akamate kuanzia
June 25, 2024

Geita Yashinda Ubingwa wa UMISSETA Dhidi ya Tabora

Katika fainali ya kusisimua ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) iliyofanyika mjini Tabora, timu ya mpira wa miguu ya wavulana kutoka Geita imetwaa ubingwa kwa kuifunga timu ya Tabora magoli mawili kwa moja. Mashindano haya ambayo yalihusisha timu kutoka mikoa
June 25, 2024

Tanzania’s Health Vision: Stronger Future Assured

Ministry of Health Secretary Dr . John  Jingu at a seminar held in  Dodoma City. reaffirmed the critical role of his ministry in shaping Tanzania ‘healthcare landscape for the upcoming fiscal year 2024/25 The seminar, attended by senior ministry officials, focused on
June 25, 2024

Polisi Waomba Ushirikiano Kuwalinda Watu Wenye Ualbino

Katika juhudi za kuimarisha usalama na kulinda haki za binadamu, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Fabian Mhagale amewataka wananchi wa Kata ya Mvungwe, Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Mhagale alisisitiza umuhimu
June 25, 2024

DC Pangani Aongoza Vita Dhidi Ukatili

Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala, ameanza kampeni kali dhidi ya vitendo vya ubakaji na ulawiti, akisisitiza kuwa watu wanaojihusisha na makosa haya watachukuliwa hatua kali za kisheria. Kilakala ameagiza Jeshi la Polisi kumkamata mtu mmoja katika kijiji cha Bushiri, anayeshtumiwa
June 25, 2024

Mpina Afungiwa Vikao 15 Bungeni

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha adhabu ya kumsimamisha kuhudhuria vikao 15 mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, kwa kosa la kumtuhumu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, kwa kulidanganya Bunge kuhusu suala la uagizaji wa sukari kutoka nje. Hatua hii ilifikia
June 25, 2024
1 244 245 246 247 248 342