Dark
Light

Tanzania - Page 246

Wananchi Watakiwa Kuweka Akiba Sehemu Salama

Serikali imewataka wananchi kuweka akiba ya fedha zao kwa kuwa akiba ni sehemu mojawapo ya mapato ambayo mwananchi, mfanyabiashara au mjasiriamali anaweza kuhifadhi sehemu salama kwa ajili ya kutimiza malengo aliyojiwekea. Akitoa Elimu kwa Wananchi wa Kijiji cha Muze Wilaya ya Sumbawanga
June 9, 2024

Malisa Aachiwa Huru, Akimbizwa Hospitali

Ripoti ya Kukamatwa na Kuachiliwa kwa Dhamana kwa Mchambuzi wa Masuala ya Kijamii na Kisiasa, Godlisten Malisa Tarehhe 06 June Mchambuzi maarufu wa Masuala ya Kijamii na Kisiasa, Godlisten Malisa, alikamatwa na Jeshi la Polisi kwa mahojiano kuhusu tuhuma kadhaa zinazohusiana na
June 8, 2024

Tanzania Set To Exit Group Of Poorest Nations In The World

The implementation of the 2025 Vision has yielded significant successes, notably elevating the nation into the category of low-middle income countries in 2020. Moreover, in a significant development this year, 2024, the United Nations has initiated the process of removing Tanzania from
June 8, 2024

Arusha Stadium Construction Spurs Economic Opportunities.

The construction of the Arusha football stadium in preparation for the AFCON 2027 tournament has been met with enthusiasm from Tanzanians, with Secretary-General Gerson Msigwa reassuring citizens of the economic benefits and employment opportunities it will bring. Secretary-General Gerson Msigwa, of the
June 8, 2024

Deputy PM Advocates For Children’s Education

The Deputy Prime Minister and Minister of  Energy Dr. Doto Biteko, who also serves as the Member of Parliament for Bukombe constituency in Geita region, has called on parents and guardians to ensure their children receive an education, emphasizing its critical role
June 8, 2024

Mapambano Dhidi ya Wanyamapori Wakali

WaharWizara ya Maliasili na Utalii imeendeleza mkakati thabiti wa kupambana na wanyamapori wakali na waharibifu na kuimarisha uhifadhi kwa kutoa mafunzo kwa Askari Wanyamapori wa Vijiji (VGS) 135. Katika hafla ya kufunga mafunzo hayo iliyofanyika katika Chuo Cha Mafunzo ya Uhifadhi wa
June 8, 2024

Walimu Watafanya Mtihani Ili Kupata Ajira

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda, ametangaza mkakati mpya wa utekelezaji wa Sera ya Elimu nchini ambao utahitaji walimu wapya wanaotafuta ajira kufanya mtihani maalum ili kuthibitisha uwezo wao. Prof. Mkenda aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi
June 8, 2024

Wizara Ya Elimu Kuhimiza Maboresho ya Mitaala

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametoa wito kwa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kushirikiana na vyuo vya elimu ya juu katika mchakato wa kuboresha mitaala ili iendane na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014
June 8, 2024
1 244 245 246 247 248 330